Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Aisee bro Kimweri yupo wapi?Hahahaha.... kenyaforum ilikuwa katika ubora wake.
kimweri pia alifanya kazi kubwa sana hapa kenyaforum.maandiko yake yanabaki kama alama.vizazi vijavyo watakuja kuyatumia kama rejea(reference).
sijui JPM kampa nafasi nyeti maana sioni akiwa active na jf.
kiboko yake na NairobiWalker[emoji23] [emoji23] (utani kidogo).....dr.kimweri nahisi kapewa idara nyeti huko serikalini.maana yupo kimya sana siku hizi.Aisee bro Kimweri yupo wapi?
Hamna topic niliyopenda kuchangia kama Uganda's pipeline maana majadiliano yalianza toka JK era mpaka JPM anakamilisha deal. Ningependa kama Uongozi wa JF wangerudisha yale majadiliano maana yalikuwa mazito nina uhakika kama watu tungekuwa tunaonana uso kwa uso, tungeshikana mashati..kiboko yake na NairobiWalker[emoji23] [emoji23] (utani kidogo).....dr.kimweri nahisi kapewa idara nyeti huko serikalini.maana yupo kimya sana siku hizi.
Wako sahihi, maana MASHOBO ni mabaki ya kitu fulani. Na ule mchanga ni mabaki baada ya uchambuzi wa kwanza.baraza la kiswahili tanzania (bakita) juzi kati waliibuka na kudai kuwa mchanga wenye madini hauitwi "makinikia" bali huitwa "MASHOBO".[emoji23] [emoji23]
[emoji23] na kweli, mashati yange shikwa. Shikamoo mtandao.Hamna topic niliyopenda kuchangia kama Uganda's pipeline maana majadiliano yalianza toka JK era mpaka JPM anakamilisha deal. Ningependa kama Uongozi wa JF wangerudisha yale majadiliano maana yalikuwa mazito nina uhakika kama watu tungekuwa tunaonana uso kwa uso, tungeshikana mashati..
Haha, sasa watakula wapi [emoji23]ni kweli...ila waache kuvizia matukio.
bora tubaki hivi hivi hatufahamiani kwa sura maana wengine huwa tunatembelea sana huko kenya kwenye shughuli zetu mbalimbali.[emoji23] na kweli, mashati yange shikwa. Shikamoo mtandao.
Kweli kabisa, wengine tunatia mguu Kenya kama nyumbani kwetu, wakitujuwa utarudi bila meno [emoji16] [emoji16]bora tubaki hivi hivi hatufahamiani kwa sura maana wengine huwa tunatembelea sana huko kenya kwenye shughuli zetu mbalimbali.
watu wanaweza wakakutegeshea vitu vyenye ncha kali pale boda ya namanga[emoji23] [emoji23]
MK254 unamkumbuka Dr. Job?
huyu ni mmoja ya wakenya wale ma-great thinker waliotamba sana hapa jf.
siku hizi simuoni,naweza sema alikuwa na u-genius fulani katika mada zake japo nyingi zilikuwa hazimuingi mkono uhuru kenyatta.
kuanzia kingereza chake mpaka point zake,jamaa alikuwa anaonyesha sio mtu wa kawaida katika kufanya naye mjadala.Mimi nilikuwa naishia tu kusoma comment zake na kuhepa kimya kimya.[emoji23] [emoji23]
kuna kipindi niliona ulikuwa unajaribu kupangua hoja zake.[emoji23]
moja ya kazi yake ni hii hapa.
[emoji41] [emoji8] nakupenda mimi[emoji125]Ina maana hamna Mkenya ananipenda humu? [emoji23] Ati kadoda11 ni haki kweli? Ila nina uhakika ni secrets admirers the way my posts hit 1000 views in a day n in Kenyan forums means something. Mimi nawapenda nyote na nawasihi msipigane August.