MK254 unamkumbuka Dr. Job?
huyu ni mmoja ya wakenya wale ma-great thinker waliotamba sana hapa jf.
siku hizi simuoni,naweza sema alikuwa na u-genius fulani katika mada zake japo nyingi zilikuwa hazimuingi mkono uhuru kenyatta.
kuanzia kingereza chake mpaka point zake,jamaa alikuwa anaonyesha sio mtu wa kawaida katika kufanya naye mjadala.Mimi nilikuwa naishia tu kusoma comment zake na kuhepa kimya kimya.[emoji23] [emoji23]
kuna kipindi niliona ulikuwa unajaribu kupangua hoja zake.[emoji23]
moja ya kazi yake ni hii hapa.