Rugby Union
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 402
- 252
Mimi napenda rap katuni, staili iliyoasisiwa na kundi la Bongo Gangwe Mobb (Inspector Haroun na Luteni Karama). Staili hii huwa inahusisha kuimba mambo ya msingi katika maisha lakini kwa style ya kuchekesha na kufurahisa (non-serious aspect).
Kenya anayeimba kwa staili hii ni pamoja na Mejja, Trapii na Juacali kidogo...
Nawarambisha kidogo.
Kenya anayeimba kwa staili hii ni pamoja na Mejja, Trapii na Juacali kidogo...
Nawarambisha kidogo.
Last edited by a moderator: