Sasa mbona hii ndio insaidia tunazidi wapiku. Tutawapiku tu mazee. Enjoy and mock while it last
tena siku hizi wanawapa mpaka walinziLink unataka ya nini, kwani link ndio inakupa mkopo. Taarifa mbona zimetolewa na BOT kwamba benki za Kenya ndio zinaongoza Bongo katika kuwapa Watanzania mikopo. Nenda kapate mkopo wako na uache kiburi, wenzio wanafaidi wewe unabaki na umaskini kwa ajili ya kiburi, wivu na majungu.
Haya link hii hapa
Equity Bank dominates mortgage lending in Tanzania
hatia gani kumpa mlinzi mkopo?Hawa wa benk za kenya wanawapa mpaka mpaka walinzi mikopo,nina jamaa yangu jana kapata mkopo equity
Bora upeleke good business plan ya kuonyesha vile utatumia hizo pesa kuregesha faida, equity watakupatia mkopoHawa wa benk za kenya wanawapa mpaka mpaka walinzi mikopo,nina jamaa yangu jana kapata mkopo equity
Unachongolewa na hujui?Hehehe, what is that???
A typical Kenyan asiye na shukrani huyu, sasa kama u have this good market for your banks what then, ?Can you imagine benki ya Tanzania iingie kwenye soko la Kenya na ku dominate morgage lending ama loans? Kila siku tunawaambia kutufikia itachukua miaka mingi sana mnapinga, haya basi, endeleeni kutupiku.
Unachongolewa ndio kufanya nini?Unachongolewa na hujui?
Woi!
...that means kuna soko la uhakika Tz, and easy place to do bussines,Can you imagine benki ya Tanzania iingie kwenye soko la Kenya na ku dominate morgage lending ama loans? Kila siku tunawaambia kutufikia itachukua miaka mingi sana mnapinga, haya basi, endeleeni kutupiku.
A typical Kenyan asiye na shukrani huyu, sasa kama u have this good market for your banks what then, ?
Huelewi we are your real bosses, we are making your banks prosperous.
What if tukiachana na Kenyan banks, tukatengeneza figisu tukapiga ban..(of which we can do it),?
A typical Kenyan asiye na shukrani huyu, sasa kama u have this good market for your banks what then, ?
Huelewi we are your real bosses, we are making your banks prosperous.
What if tukiachana na Kenyan banks, tukatengeneza figisu tukapiga ban..(of which we can do it),?
Mzee umekamia hatari, [emoji3] [emoji3] [emoji3]🙄 very stupid backward thinking. This right here (IN RED) is the reason why Tz remains how it is. The outrageous ridiculousness that y'all display in the name of opining is unforgivable. Kindergartners!!
kaka wala hata sikubishii,na equity bank,watafika mbali xnBora upeleke good business plan ya kuonyesha vile utatumia hizo pesa kuregesha faida, equity watakupatia mkopo
.. hivyo ndo equity ilijijenga, kwa kuinua wananchi wa chini kabisa bila kujali hali yao ya kifedha.... ndo maana Equity ndo banki ilio na wateja wengi zaidi kuliko banki yoyote Africa
Bank zingine hata hathubutu kuwasikilizahatia gani kumpa mlinzi mkopo?
Mtoke kwenye hiyo giza ya dharau ndogo ndogo, itawasaidiaBank zingine hata hathubutu kuwasikiliza
Ahsante sana mkuu,ndio maana equity wameona fursa wakaichangamkiaMtoke kwenye hiyo giza ya dharau ndogo ndogo, itawasaidia
For real no articles without citing the source.
This is where the silly argument end.
Hard to argue against these facts without coming off stupid or desperate or both
Hapa Leo all you kenya haters mtakoma tu!!!
Or just analyze the pasted story and see whether there are any links within it. My goodness.
Unachekwa.Unachongolewa ndio kufanya nini?
Nachekwa na nani?Unachekwa.