Kenyan Company Controlling Ksh85 Trillion Global Industry

Kenyan Company Controlling Ksh85 Trillion Global Industry

Wacha porojonwewr.

Al Shabab mmewaunda wenyewe Kenya mkishirikiana na mabwana zenu ili mkaibe mafuta ya Wasomali.

Hehehe!! Umerudi kule kule, nilijua hadi hapo utakua umejizeekea au umeolewa sijui mke wa nne au, haswa ulianza kutulia haya makelele yako siku Pascal Mayalla alitoa posa humu, kumbe bado wewe ni yule yule bibi mashababi...anyway hili la alshabaab sitohangaika kukujibu maana kipindi kile ulikua na mzuka unatupelekesha nyuzi kama hizi kurasa zinapita kumi full misifa yako kwa mashababi na mauaji yao....kwa hapo tulishakukubali bibi, kipaji hicho unacho...haya kwaheri tukutane tena ile siku utapunguza minyege ya kishababi...
 
Duh!!!! Wakenya njooni mshuhudie kituko cha mwaka, aisei mama Samia Suluhu amebadilisha mambo, hainingii akilini huu uzi umepata like kutoka kwa FaizaFoxy au labda nina maruerue.
Faiza Foxy karudi baada ya miaka mingi!
 
Faiza Foxy karudi baada ya miaka mingi!

Hivi yule Baba Rosa sijui Barbarosa alienda wapi, naye tukipata like kutoke kwake itakua imetimia.....hao wawili yeye na huyu bibi walikua matata sana uzuri Barbarossa hakua na mitazamo ya kigaidi gaidi, hoja zake kiaina zilikua na mashiko.
 
Hivi yule Baba Rosa sijui Barbarosa alienda wapi, naye tukipata like kutoke kwake itakua imetimia.....hao wawili yeye na huyu bibi walikua matata sana uzuri Barbarossa hakua na mitazamo ya kigaidi gaidi, hoja zake kiaina zilikua na mashiko.
guess ni majukumu zimewashika, Faiza nadhani anashughulikia watoto kwa sasa yeye atakua ni mama, karibia nyanya.., watarudi tu, wengine pale zamani walikiri by end of 2020 Tz will be above Kenya by far, now tuko 2021 gap imekua kubwa, wanapita kimya kimya.
 
Back
Top Bottom