MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Wacha porojonwewr.
Al Shabab mmewaunda wenyewe Kenya mkishirikiana na mabwana zenu ili mkaibe mafuta ya Wasomali.
Hehehe!! Umerudi kule kule, nilijua hadi hapo utakua umejizeekea au umeolewa sijui mke wa nne au, haswa ulianza kutulia haya makelele yako siku Pascal Mayalla alitoa posa humu, kumbe bado wewe ni yule yule bibi mashababi...anyway hili la alshabaab sitohangaika kukujibu maana kipindi kile ulikua na mzuka unatupelekesha nyuzi kama hizi kurasa zinapita kumi full misifa yako kwa mashababi na mauaji yao....kwa hapo tulishakukubali bibi, kipaji hicho unacho...haya kwaheri tukutane tena ile siku utapunguza minyege ya kishababi...