Wacha porojonwewr.
Al Shabab mmewaunda wenyewe Kenya mkishirikiana na mabwana zenu ili mkaibe mafuta ya Wasomali.
Faiza Foxy karudi baada ya miaka mingi!
guess ni majukumu zimewashika, Faiza nadhani anashughulikia watoto kwa sasa yeye atakua ni mama, karibia nyanya.., watarudi tu, wengine pale zamani walikiri by end of 2020 Tz will be above Kenya by far, now tuko 2021 gap imekua kubwa, wanapita kimya kimya.Hivi yule Baba Rosa sijui Barbarosa alienda wapi, naye tukipata like kutoke kwake itakua imetimia.....hao wawili yeye na huyu bibi walikua matata sana uzuri Barbarossa hakua na mitazamo ya kigaidi gaidi, hoja zake kiaina zilikua na mashiko.
Maullana Ceo geza ulale upo tayari kukuponya maomivu. Vikumbe viwili ya kiti-mtu supu wasiwasi ukutokeMajirani wanaishi kwa ujanja ujanja sana...