Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #21
kaa mkao wa kula in 2 years time mta-visit huku piaHuyo jamaa
Acha ushamba wa kupotosha watu, huo ni mkutano ambao hua unazunguka nchi za EAC, next year utakuta uko Kigali baada ya hapo uende Entebe....alafu uje Nairobi...
Alafu huyo Martin Tairo ambaye Babayao255 anaweka tweet zake ni mfanyikazi wa Taita Taveta County ambayo ni county inapakana na Tz.... kusifia kwake kwa Terminal 3 ya TZ ni kwasababu alishuka hapo kwa Terminal mpya.... Kama angeshukishwa kwa terminal za kitambo hapo JNIA hangesema hayo...
Ni kama vile huku Kenya ukiwa we ni mgeni na utumia Terminal 1A pale JKIA utaisifia sana hio airport, lakini ukitumia zile Terminal za kitambo habari itakua ni tofauti
LOL wasubiri ya Dodoma
LOL wasubiri ya Dodoma
Juzi Magu kasema itakua biggest airport kuliko zote
Imetengewa zaidi ya billion 600
Kuna Serengeti I'nal Airport. Nayo iko on pipeline. Ita boost sana utalii.LOL wasubiri ya Dodoma
Juzi Magu kasema itakua biggest airport kuliko zote
Imetengewa zaidi ya billion 600
ata terminal II is being renovated! the guy is an architect na yupo na wenzie nita-post more videos! Na hata kama wako under EAC still haiondoi Ukenya wao!
Kwa hiyo unataka kutuambia nini πππ
Kwahiyo unataka kusrmaje??
level yakeHAta mimi naweza nikawaletea tweets na video za watu wakisifu JKIA........ lakini kwa mtu ambaye anaijua JKIA anajua ni Terminal mbili ndo ni modern hapo JKIA, ukishka hizo terminal nyengine za kitambo hali ni Tofauti sana!
Hebu niambieni, mgeni akishuka kwa hii Terminal mpya pale JKIA atasemaje?
View attachment 1272498
View attachment 1272500View attachment 1272502
View attachment 1272503
business class section
View attachment 1272504
View attachment 1272505View attachment 1272506
View attachment 1272509
Lakini kama unavyoona hapa kwa hii map
Terminal 1A Ni ya Kenya airways pekee na ndege za Sky Team Allaiance, kama kampuni ya ndege haiko kwa Sky-Team basi hautatumia T1A... whichi mans utatumia Terminals za kitambo.
The same thing iko huko JNIA hapo Dar, Ukishuka kwa hio Terminal mpya utabaki ukisifia lakini msisahau kwamba kuna Termina za kitambo bado zinatumika....
Hapa EAC ni Kigali pekee ambayo iko na airport ambayo yote ni modern haijalishi unasafiri na ndege gani, lakini kwa sisi ambao tulianza kitambo, kuna sehemu zengine za airport zimechoka, inalingana na ndege utakayo safiri nayo iko gate gani ya airport.
Punguza ushamba
try to host A380 to even dare to compare jkia to A380Punguza ushamba
Acha kulazimisha mambo, huyo mkenya mwenzako hata hii terminal yenu pia anaijua, lakini alivyolinganisha na JNIA, ndio amefikia hiyo " conclusion ", kwamba JKIA yote kwa pamoja, ni aibu tupu ukilinganisha na " ultra modern JNIA.HAta mimi naweza nikawaletea tweets na video za watu wakisifu JKIA........ lakini kwa mtu ambaye anaijua JKIA anajua ni Terminal mbili ndo ni modern hapo JKIA, ukishka hizo terminal nyengine za kitambo hali ni Tofauti sana!
Hebu niambieni, mgeni akishuka kwa hii Terminal mpya pale JKIA atasemaje?
View attachment 1272498
View attachment 1272500View attachment 1272502
View attachment 1272503
business class section
View attachment 1272504
View attachment 1272505View attachment 1272506
View attachment 1272509
Lakini kama unavyoona hapa kwa hii map
Terminal 1A Ni ya Kenya airways pekee na ndege za Sky Team Allaiance, kama kampuni ya ndege haiko kwa Sky-Team basi hautatumia T1A... whichi mans utatumia Terminals za kitambo.
The same thing iko huko JNIA hapo Dar, Ukishuka kwa hio Terminal mpya utabaki ukisifia lakini msisahau kwamba kuna Termina za kitambo bado zinatumika....
Hapa EAC ni Kigali pekee ambayo iko na airport ambayo yote ni modern haijalishi unasafiri na ndege gani, lakini kwa sisi ambao tulianza kitambo, kuna sehemu zengine za airport zimechoka, inalingana na ndege utakayo safiri nayo iko gate gani ya airport.
Kwa hiyo unataka kujaribu kufananisha hili gofu lenu na terminal yetu mpya ya kisasa πππHAta mimi naweza nikawaletea tweets na video za watu wakisifu JKIA........ lakini kwa mtu ambaye anaijua JKIA anajua ni Terminal mbili ndo ni modern hapo JKIA, ukishka hizo terminal nyengine za kitambo hali ni Tofauti sana!
Hebu niambieni, mgeni akishuka kwa hii Terminal mpya pale JKIA atasemaje?
View attachment 1272498
View attachment 1272500View attachment 1272502
View attachment 1272503
business class section
View attachment 1272504
View attachment 1272505View attachment 1272506
View attachment 1272509
Lakini kama unavyoona hapa kwa hii map
Terminal 1A Ni ya Kenya airways pekee na ndege za Sky Team Allaiance, kama kampuni ya ndege haiko kwa Sky-Team basi hautatumia T1A... whichi mans utatumia Terminals za kitambo.
The same thing iko huko JNIA hapo Dar, Ukishuka kwa hio Terminal mpya utabaki ukisifia lakini msisahau kwamba kuna Termina za kitambo bado zinatumika....
Hapa EAC ni Kigali pekee ambayo iko na airport ambayo yote ni modern haijalishi unasafiri na ndege gani, lakini kwa sisi ambao tulianza kitambo, kuna sehemu zengine za airport zimechoka, inalingana na ndege utakayo safiri nayo iko gate gani ya airport.
Mbona Somalia imeishinda Kunyaland!?yani hata Midanganyika Wajenge namna gani Bado Rwana imewashinda tu??/
B!tch please, gofu letu hu hudumia wateja wengi kuliko airport zenu zote ukijumlishaKwa hiyo unataka kujaribu kufananisha hili gofu lenu na terminal yetu mpya ya kisasa πππ
Hio terminal 1A inaelekea miaka sita sasa tangu ianze kufanya kazi wakati hio yenu ndo imezinduliwa... Wakati tuli zindua yetu ilifanya JKIA for the first time kukua ranked kwa top 5 best airports in Africa!!!!! Lets see you achieve such a fete ndo uje tuongeeAcha kulazimisha mambo, huyo mkenya mwenzako hata hii terminal yenu pia anaijua, lakini alivyolinganisha na JNIA, ndio amefikia hiyo " conclusion ", kwamba JKIA yote kwa pamoja, ni aibu tupu ukilinganisha na " ultra modern JNIA.
Punguza ushamba jamenitry to host A380 to even dare to compare jkia to A380
Huu ni upuzi wa kujiliwaza tuKwa hiyo unataka kutuambia nini πππ