Ifike mahali Mheshimiwa Rais uache tabia yako ya kuchukia watu wanaokosoa miradi yako na kusema eti ni mpiga dili au fisadi. Inamana kwamba hata muuza mchicha fungu mia mbili na alikuwa ni fisadi? Mbona kituko hiki!Huyo MZEE wa kwanza kuzungumza ameamua kujitoa mhanga, liwalo naliwe, anasema kwa uchungu sana, kwamba "Heri kufa kuliko kuishi Kenya", huo ndio ukweli, Kenya watu wanateseka sana. Soma " comments za wakenya hapo chini.
Tuimbe mapambio ndugu hela hakuna πππKama wanauziwa hadi kachumbari, tomato sauce si ni Hatari πππ
Yaani ukinunua zako nyama choma au chipsi itakubidi uwe na Pesa ya kachumbari na tomato sauce.
Mtangoja sana huku mkiendelea kurudi utumwani.Tuimbe mapambio ndugu hela hakuna πππ
Tanzania SGR project will delay for at least 6 months time due to many factors. The trains may start to operate earlier but to get all necessary documentations might require additional time to be resolved. Passengers might start using the trains by May - June 2020.
First phase of Dar SGR likely to miss deadline
that SGR of a thing is even hot air,by 2020 that will not have startedTuimbe mapambio ndugu hela hakuna πππ
Tanzania SGR project will delay for at least 6 months time due to many factors. The trains may start to operate earlier but to get all necessary documentations might require additional time to be resolved. Passengers might start using the trains by May - June 2020.
First phase of Dar SGR likely to miss deadline
Kwanini mnamlaumu Rotich kutokana na kusambaratika kwa uchumi wenu?, kwani yeye ndiye rais wa nchi?that SGR of a thing is even hot air,by 2020 that will not have started
Ifike mahali Mheshimiwa Rais uache tabia yako ya kuchukia watu wanaokosoa miradi yako na kusema eti ni mpiga dili au fisadi. Inamana kwamba hata muuza mchicha fungu mia mbili na alikuwa ni fisadi? Mbona kituko hiki!
Ifike mahali Mh. Rais uache kusikiliza wapambe hao wanaosema wanasimama na wewe, wanakudanganya. Pia uache uongo mara kwa mara kuwadanganya Watanzania. Hii kitu inakera na haipendezi. Rais unaomba Watanzania wakuombee halafu unakuwa muongo muongo.
Mnakuwa mna maana gani au mnatupeleka wapi jamani?
Mfano, yaliyotokea kwenye korosho wewe na Waziri wako mlisema mmelipa madeni yote wakati sio kweli.
Sio kwamba watu wanabeza miradi yako, tatizo hamzingatii vipaumbele mlivyohaidi kwa wananchi, vipaumbele ambavyo vitamgusa moja kwa moja Mtanzania.
Iko wapi Tanzania ya viwanda mpaka leo? Sector ambayo ingeenda kuajiri asilimia kubwa ya vijana.
Tunakuomba Rais uzungumze na vijana utoe neno la kuwatia moyo vijana ili wajue mahali mnapowapeleka, hali inazidi kuwa ngumu na vijana wanapata tabu sana awamu hii - sio ajira, kilimo wala biashara - mambo ni magumu hatuoni wawekezaji ambao wanaweza kuchochea uchumi wa taifa wala hatuoni dalili ya Tanzania ya Viwanda.
Maisha yamekuwa magumu sana mtaani
Mkuu wetu tumeona jitihada zako kuanzia kutumbuwa kule bandarini na kushughulikia wakwepa kodi,kushughulikia waliovamia viwanja na ubomoaji hapa Dar es Salaam, kuzuiya vibali vya kuagiza sukari nje na kubana matumizi ya serikali.Nadhani ilikuwa lengo ni kuimarisha maisha ya wananchi na kuleta...www.jamiiforums.com
Aiseee hii ni kweli?!?Kama wanauziwa hadi kachumbari, tomato sauce si ni Hatari πππ
Yaani ukinunua zako nyama choma au chipsi itakubidi uwe na Pesa ya kachumbari na tomato sauce.
Baba, ukiambiwa Tanzania ya viwanda haimaanishi serikali ndo italeta viwanda vyote, inamaanisha na nyie wananchi msaidie nchi ifike hio sera, alafu serikali haiongozi maisha ya watu we ndo unaongoza maisha yako mwenyewe, we ndo mwenye dira na maisha yako,, kunaweza kua na sera za viwanda lakini wewe ukajishushulisha na vitu vingine tafaut,
Ndio ni kweliAiseee hii ni kweli?!?
Sijawahi isikia hii aiseeNdio ni kweli
Pitia hii quote kuna picha iangalie πππSijawahi isikia hii aisee
Jaman enh nipo Nairobi, watawaambia nn hawa watu [emoji23]
Soda tu 90, hio 100 na chenji kubaki kwa mama ntilie unakula nn [emoji23]
View attachment 1248717
π π π π daaaahPitia hii quote kuna picha iangalie πππ
Sio kama huku kwetu unapewa tomato sauce unajiwekea ya kutosha mwenyewe ππππ π π π daaaah
mpk tomato sauce?? hatari sanaπππ