Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Tekno,anasem mi Kenyan girl. Ohhhoo.Kenya big up san
Kenya wako vizuri,wametutangulia,its true...siwezi kukaa hapa naanza kuwaonea wivu na kuwatolea maneno ya kinafiki KE sababu tu wametuzidi,....Ni fundisho tukomae tuwapite na sisi...
Sasa ukikutana na majitu ya CCM utashangaa hilo povu...kenya this,kenya that.....TZ tutapata maendeleo tukiiiondoa CCM madarakani,ndio tatizo hili..ngoja tukomae!