MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Dah! Kingereza cha Wabongo...hehehe haya bana.
Anyway sio Kenya tu, mnasemwa kote hadi na WHO, mbinu zenu ni kinyume na mataifa yote ya dunia, mnasuasua kutoa data na kuwapa watu wenu matumaini hewa, kisha mnashtukiza na namba za kiajabu na kuwaacha hoi.
Wenyewe mnapima watu wachache kwa siku lakini tayari mumeongoza EAC kwa idadi ya maambukizi, hiyo tayari inaonyesha jinsi gani mnacheza mchezo hatari.
WHO yailaumu Tanzania kutokutoa ushiriano mzuri takwimu za COVID19 - JamiiForums
Anyway sio Kenya tu, mnasemwa kote hadi na WHO, mbinu zenu ni kinyume na mataifa yote ya dunia, mnasuasua kutoa data na kuwapa watu wenu matumaini hewa, kisha mnashtukiza na namba za kiajabu na kuwaacha hoi.
Wenyewe mnapima watu wachache kwa siku lakini tayari mumeongoza EAC kwa idadi ya maambukizi, hiyo tayari inaonyesha jinsi gani mnacheza mchezo hatari.
WHO yailaumu Tanzania kutokutoa ushiriano mzuri takwimu za COVID19 - JamiiForums