kkenzki JF-Expert Member Joined Oct 27, 2012 Posts 1,498 Reaction score 2,483 Nov 8, 2019 #21 Asee.. Hi Sasa ndo mother of all poverty!
babayao255 JF-Expert Member Joined Apr 4, 2019 Posts 11,632 Reaction score 29,912 Nov 8, 2019 #22 Kuna mmoja alikuwa analalamika, amemkodisha mke wake kwa mzungu alafu mkewe akanogewa kwa mzungu akamtema jamaa moja kwa moja πππ
Kuna mmoja alikuwa analalamika, amemkodisha mke wake kwa mzungu alafu mkewe akanogewa kwa mzungu akamtema jamaa moja kwa moja πππ
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,701 Reaction score 71,056 Nov 8, 2019 #23 Bora kumuuza mke wako kwa muda kuliko kujiuza wewe mwenyewe mwanaume
M Mbolabilika JF-Expert Member Joined Jul 30, 2019 Posts 2,128 Reaction score 2,867 Nov 8, 2019 #24 Naton Jr said: Simply inasikitisha View attachment 1257408 Click to expand... Kwa mbinu hii lazima kwenye utalii watupite maana si kwa kuvutia hivi
Naton Jr said: Simply inasikitisha View attachment 1257408 Click to expand... Kwa mbinu hii lazima kwenye utalii watupite maana si kwa kuvutia hivi
eliakeem JF-Expert Member Joined May 29, 2009 Posts 17,214 Reaction score 15,853 Nov 8, 2019 #25 babayao255 said: Kuna mmoja alikuwa analalamika, amemkodisha mke wake kwa mzungu alafu mkewe akanogewa kwa mzungu akamtema jamaa moja kwa moja πππ Click to expand... Duu hapo ni noma. Utakuta wamekutoroka huwaoni tena.
babayao255 said: Kuna mmoja alikuwa analalamika, amemkodisha mke wake kwa mzungu alafu mkewe akanogewa kwa mzungu akamtema jamaa moja kwa moja πππ Click to expand... Duu hapo ni noma. Utakuta wamekutoroka huwaoni tena.
babayao255 JF-Expert Member Joined Apr 4, 2019 Posts 11,632 Reaction score 29,912 Nov 8, 2019 #26 eliakeem said: Duu hapo ni noma. Utakuta wamekutoroka huwaoni tena. Click to expand... πππ