Kimsingi jamaa yuko sahihi kwa asilimia 50 na zingine 50 hayuko sahihi.
Tukianzia na kujua ni akina nani wanawasaidia hawa magaidi kufanya uhalifu utagundua ni waafrika wenyewe sasa kwa hali hiyo unategemea wewe mwaafrika uthaminiwe vipi?
Sent using
Jamii Forums mobile app