Kimsingi jamaa yuko sahihi kwa asilimia 50 na zingine 50 hayuko sahihi.
Tukianzia na kujua ni akina nani wanawasaidia hawa magaidi kufanya uhalifu utagundua ni waafrika wenyewe sasa kwa hali hiyo unategemea wewe mwaafrika uthaminiwe vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.