MY TAKE
Lets see how this will go, pretty sure Tanzania will do the same if KDF is deployed at the border as that means to provoke a neighbor according to International laws!
MY TAKE
Lets see how this will go, pretty sure Tanzania will do the same if KDF is deployed at the border as that means to provoke a neighbor according to International laws!
Hahaha! Jana nimepitia media zenu zilikuwa zimebadilisha story kabisa ili kukwepa aibu,Jiwe alisema Uhuru ndio alimpigia akiwa Chato ili wazungumze kuhusu swala la.mpaka, kama unabisha weka clip tuone alichosema jana.mnaona aibu,the bitter truth is that,Uhuru blinked first!Jisomee hapo chini km unaelewa kingereza lkn..
Inayoenyesha kabisa uhuru alipiga simu wakaongelea ishu ya corona, halafu hyo ya pili jiwe kaona haya kusema km alipiga simu na wakaongelea ishu za mipakani na akaamua kuwatuma wawakilishi..
View attachment 1455223View attachment 1455224
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaa, wabadilishe kwa faida ya gan[emoji23][emoji23]Hahaha! Jana nimepitia media zenu zilikuwa zimebadilisha story kabisa ili kukwepa aibu,Jiwe alisema Uhuru ndio alimpigia akiwa Chato ili wazungumze kuhusu swala la.mpaka, kama unabisha weka clip tuone alichosema jana.mnaona aibu,the bitter truth is that,Uhuru blinked first!
Hako ka nnchi ni cha kuuza tuHehehe hivi mbona mnalazimisha ionekane isivyo, balozi wetu ametolea maelezo ya kwanini haturuhusu yeyote kuingia bila kupimwa, hivyo lazima mpimwe haingii mtu hapa, acheni njaa zenu. Hata mlie lie vipi, kila mtu lazima apimwe.
Educated? Huyo mlevi?[emoji23]
Kenya president is more educated than president of Tanzania.
Maendeleo ni kwa nani kati ya Pombe na Uhuru?
HahahahaBetter this small country,, yenye iko na viongozi wamesoma kuliko taifa hiyo kubwa ambayo inaongozwa na watu wenye hawajui kuongea lugha ingine. π π π π π
Hii lugha gani sasa umeandika hapa?We unawashangaa wasiojua kiingereza hujishangai wewe kutokujua kiswahili? Wakenya hamuachi kuishangaza duniaBetter this small country,, yenye iko na viongozi wamesoma kuliko taifa hiyo kubwa ambayo inaongozwa na watu wenye hawajui kuongea lugha ingine. π π π π π
Hii lugha gani sasa umeandika hapa?We unawashangaa wasiojua kiingereza hujishangai wewe kutokujua kiswahili? Wakenya hamuachi kuishangaza dunia
Kama umeunderstand what I have written there, why are you complaining? Mother tongue yangu sio Swahili kama nyinyi.Hahahaha
Yenye iko....
Taifa hiyo.....
Wenye hawajui....
Lugha ingine....
Duh
Yaani hata Kiswahili ni shida...hahaha
Sasa mbona nyie mnawacheka wale wanaoboronga kwenye English wakati siyo mother tongue yao?Kama umeunderstand what I have written there, why are you complaining? Mother tongue yangu sio Swahili kama nyinyi.
Kumbe hili unalijua ni vipi sasa wewe unawacheka wasiojua English ambayo pia sio mother tongue kwao?Kama umeunderstand what I have written there, why are you complaining? Mother tongue yangu sio Swahili kama nyinyi.
Kuna tofauti ya mtu binafsi na serikali uwage na akili muda mwingine kumbafuu weeBwahaha!!imekuingia hyo jomba, nikutajie billionaire mwngine anayekopa[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!basi uk wasingelikopaKuna tofauti ya mtu binafsi na serikali uwage na akili muda mwingine kumbafuu wee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hili unalijua ni vipi sasa wewe unawacheka wasiojua English ambayo pia sio mother tongue kwao?
Sasa umeaona ni kwanini tunawacheka wakuu wa TZSasa mbona nyie mnawacheka wale wanaoboronga kwenye English wakati siyo mother tongue yao?
But English is not our mother tongue...why do you laugh at us?!?Nimecheka viongozi wa tanzania pekee. π π π View attachment 1457908
Sasa umeaona ni kwanini tunawacheka wakuu wa TZ
But English is not our mother tongue...why do you laugh at us?!?