Kenyan Music



Mie nawashauri warudi huku tu


hahaha huu ndio utambulisho wa muziki wa kenya!!
Wamejifanya kusahau na kupotezea kazi wanayo!!
 
Edward Wanjala Thread yako mshenzi tumeichakaza hadi Wakenya nyote mmekimbia.

Tanzania as an East African musical powerhouse
Apr 06, 2016 • by Bill Odidi

Just after Independence in 1962, Tanzania established itself as the musical powerhouse of East Africa in a move that was driven by the country’s political and Cultural Revolution. This bond with the government served musicians well for two decades, but the bands struggled to survive the changes that began in the 1980s.

In the 1960s and 1970s, Tanzanian bands, beneficiaries of State patronage, dominated music beyond their own borders to encompass the east African region. At independence, the Tanzanian Government had introduced a policy of nationalization as part of a campaign to promote “Africanness” and music was to play a major part in this campaign.

In time, other East African artists localized their music using the Tanzanian template and gained the confidence to express themselves in a hybrid of local languages. During the era of the dansi bands, Tanzanian musicians enjoyed state patronage to compose music that rallied the people to support national policies; today’s artists produce songs about romance and party life and promote themselves on social media. The transformation of the music scene in the country could not have been more dramatic.

http://musicinafrica.net/tanzania-east-african-musical-powerhouse
 

Upande huu wakenya wamekosea njia
 
Tye tye
Hiyo ngoma miaka 3
vws 1.7ml!!!
Huyo ni Mwanamuziki mkubwa na mkongwe kenya!!!



Njoo kwa kijana wa jana tu
huyu ni dogo tu Hapa Bongo
cheki kitu cha mwaka jana


Labda sauti sol Kidogo
 
Sasa hivi Diamond hizo ngoma zake za kukurupuka unadhani zitamfikisha wapi?? Yeye na kina TID ni kitu moja, wanaotamba kwa mda mfupi!!

Kenya Music wameshift, wako kwenye easy listening, music of the world, sisi Kenya kwenye club tunasikiza Bongo, kwenye ustaarabu tunasikiza Kenyan Music kwa mtindo kina Elani, Mayonde Raj nk music for the world
 
Hebu jaribu kuona aibu
Tanzania kimusiki si level ya kenya
unatia huruma kijana wewe!!

Bongo ina aina nyingi za muziki

Hatuna Diamond pekee

Cheki hii

Kisha njoo utulize Moyo na Kitu hii

 
Hebu jaribu kuona aibu
Tanzania kimusiki si level ya kenya
unatia huruma kijana wewe!!

Bongo ina aina nyingi za muziki

Hatuna Diamond pekee

Cheki hii

Kisha njoo utulize Moyo na Kitu hii


Msanii wa Bongo ambaye pekee yake ana mitindo ya ngoma za kimataifa ni Venessa Mdee, na hivi ujue sababu huyu ameishi Kenya kwa wingi akaelewa maana ya miziki ya kimataifa
 
Msanii wa Bongo ambaye pekee yake ana mitindo ya ngoma za kimataifa ni Venessa Mdee, na hivi ujue sababu huyu ameishi Kenya kwa wingi akaelewa maana ya miziki ya kimataifa
Siyo bure unamgando kidogo!!
Najua umetapika hivyo kwasababu ya lugha tu
Bongo inakila aina ya wasanii
nakama English ndio sababu
mziki wenu ungelikuwa juu sana
tatizo kenya hakuna wasanii vipaji vya muziki ni ZERO
Kenya mbio tu!!

Vipaji Ni vingi Bongo
wasanii ni wengi mno



 

No body listens to kenyan music in the usa but wakenya wenyewe, sore!!! Ama nipe jina ya radio or tv station moja ya usa inayocheza kenyan music nisikiize...[emoji849]
 

Unadhani Mzungu ama mtu amabye si kutoka East Afrika atasikiza hizo songs?? Kamatia chini nzuri sana East Afrika lakini haiwezi ingi intrenational Audience!!!
 
Hebu jaribu kuona aibu
Tanzania kimusiki si level ya kenya
unatia huruma kijana wewe!!

Bongo ina aina nyingi za muziki

Hatuna Diamond pekee

Cheki hii

Kisha njoo utulize Moyo na Kitu hii

Dada zuwenna muonee huruma mtoto wa mwenzio [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hebu jaribu kuona aibu
Tanzania kimusiki si level ya kenya
unatia huruma kijana wewe!!

Bongo ina aina nyingi za muziki

Hatuna Diamond pekee

Cheki hii

Kisha njoo utulize Moyo na Kitu hii

Dada zuwenna muonee huruma mtoto wa mwenzio [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Thats true man Khaligraph J Is NEXT LEVEL no One in East to overtake!!
 
Wakenya bwana wanachekesha sana, miziki yao haieleweki upi ni gospel upi ni wa kidunia, yaani hadi club wanacheza nyimbo za Bahati, Willy paul, n.k

Pia midundo yao yote inafanana, fimbo ina chapa, ita wazima moto, hayo ni mapepo.Halafu wanapenda kujipanga na kucheza cheza stepu kwenye miziki yao kama mapunguani vile.

Hebu jirekebisheni wakenya mziki wenu unaboa sana
 
kama ni kuiga mbona pia diamond huhusisha wazungu kwenye video zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…