Kenyan police ranked Wold's third worst by World Internal Security and Police Index

Kenyan police ranked Wold's third worst by World Internal Security and Police Index

Wewe akili yako ni ndogo sana, sidhani kama kunasababu ya kuendelea na huu mjadala, kwani nani aliyekuwa anawaua hao waethiopia, serikali imejitahidi kuwazuia kuingia nchini kinyume cha sheria, wao wenyewe wanaamua kufungiwa ndani ya container baadae wanakufa kwa kukosa hewa, hapo serikali inahusika vipi?, nimekuambia kama hujui mambo, nyamza usituchafulie mjadala hapa ndani.
Kwani wajibu wa kulinda raia si ni wa serikali??? Unafikiri hawa wa Ethiopia hawapiti Kenya? Na kama wanapita mbona hawafi kama huku???

Let's be fair........ Kenya wako juu kwa kila idara.

Haya ya akili yangu kuwa ndogo, Sawa tu hata ukitukana sawa tu. I don't attack a person bila sababu
 
Kenya wametuzidi kwenye kila kitu chema. Kuanzia elimu, afya, huduma za jamii (social services), haki za binadamu, utawala bora nk

Sisi watanzania tunawazidi wa Kenya kwenye gossiping, uchawi, siasa chafu nk
Huna unalojua zaada ya maneno ya udaku tu, wewe na Hamisa Mobeto ndiyo level zako, huku hatujadili hivyo, huku kila ukisema jambo lazima uambatanishe na ushaidi, ngoja nikufunze jinsi ya kujadili mada ki utu uzima, Tanzania ipo mbele katika kukua kwa uchumi 7%, Kenya 5.6%, unemployment Tanzania 22%, Kenya 43%, hivyo ndiyo unapaswa ujenge hoja, sio ujisemee maneno matupu kama mlevi, nani atakuamini?
 
Kwani wajibu wa kulinda raia si ni wa serikali??? Unafikiri hawa wa Ethiopia hawapiti Kenya? Na kama wanapita mbona hawafi kama huku???

Let's be fair........ Kenya wako juu kwa kila idara.

Haya ya akili yangu kuwa ndogo, Sawa tu hata ukitukana sawa tu. I don't attack a person bila sababu
Nani aliyekuambia huko Kenya hawafii?, nimekuambia acha kujadili mambo usiyoyajua, huko Kenya wanakufa pia, wanaobahatika wanafika Tanzania, hapa napo baadhi wanakufa, ila wengi wanapita, wanaofika Malawi na Zambia baadhi wanakufa na wengine wanaendelea na safari, hujasikia mamia ya waethiopia wanaokufa zambia na Malawi?
Kuhusu Kenya, wewe hujui kwamba Kenya inaongoza kwa rushwa duniani, vyombo vyao vya usalama na uhamiaji vimetawaliwa na rushwa na ndiyo sababu wageni wengi hasa wasomali wamewaachia kufanya wanavyotaka nchini Kenya na wanatumika kuwauwa wakenya na kundi la Alshabab, unataka Tanzania tuachie kama Kenya ili usalama uzorote kama Kenya?
 
Huna unalojua zaada ya maneno ya udaku tu, wewe na Hamisa Mobeto ndiyo level zako, huku hatujadili hivyo, huku kila ukisema jambo lazima uambatanishe na ushaidi, ngoja nikufunze jinsi ya kujadili mada ki utu uzima, Tanzania ipo mbele katika kukua kwa uchumi 7%, Kenya 5.6%, unemployment Tanzania 22%, Kenya 43%, hivyo ndiyo unapaswa ujenge hoja, sio ujisemee maneno matupu kama mlevi, nani atakuamini?
Nitapenda uweke data toka kwenye vyanzo huru na siyo hizi za ndani zenye ukakasi hadi akina Zitto wanazikosoa.

Sijui unaongelea uchumi upi wewe, macro au micro???

Wakenya wengi wanajihusisha na biashara ya online na hivyo kuhisi Wana unemployment rate kubwa lakini wamejiajiri sana. Pengine ni mara Mia yetu sisi. Hebu fuatilia kuhusu " juakali "
 
So you should agree that, untill last year, Kenya was ahead of Ethiopia, but this year that is the pest event, but is not important to have the biggest economy like Kenya and Ethiopia if ordinary people are poorest in the region, if gap of rich and poor is the biggest, if majority of people are dying of hunger, if a country has one of the biggest slums on the globe, if unemployment is among the highest in the world, what is the effect of the biggest economy if doesn't help people?

their economy is giant on papers. but once it comes in reality no one could imagine if what's witnessed in kibera is the case.

ona mauchumi ya ukweli kama Botswana. everything goes concurrently smooth. corruption iko chini security services are good na ukienda mtaani safi ukienda kwenye papers nako thumb up.
siyo confused and disarrayed Kenya economy.
 
Huna unalojua zaada ya maneno ya udaku tu, wewe na Hamisa Mobeto ndiyo level zako, huku hatujadili hivyo, huku kila ukisema jambo lazima uambatanishe na ushaidi, ngoja nikufunze jinsi ya kujadili mada ki utu uzima, Tanzania ipo mbele katika kukua kwa uchumi 7%, Kenya 5.6%, unemployment Tanzania 22%, Kenya 43%, hivyo ndiyo unapaswa ujenge hoja, sio ujisemee maneno matupu kama mlevi, nani atakuamini?
Mkuu huyu achana naye hana takwimu yoyote anayoweza kuleta hapa kuthibitisha argument yake!
 
Nitapenda uweke data toka kwenye vyanzo huru na siyo hizi za ndani zenye ukakasi hadi akina Zitto wanazikosoa.

Sijui unaongelea uchumi upi wewe, macro au micro???

Wakenya wengi wanajihusisha na biashara ya online na hivyo kuhisi Wana unemployment rate kubwa lakini wamejiajiri sana. Pengine ni mara Mia yetu sisi. Hebu fuatilia kuhusu " juakali "
Ninarudia tena, humu hatujafili kama kula kwenu wewe na akina Wolper, Zari, Wema na Hamisa Mobeto, ambako wanashambuliana kwa kuambiana fulani ananuka sehemu za Siri bila ushahidi, ni ilimuradi tu amesema, hizi data nilizokupa ni kutoka World Bank, ambazo hata Kenya, Tanzania wote wanazikubali, wewe haya unayosema umeyatoa wapi, nimekuambia lete ushahidi, kama huna nenda kwenye mazungumzo yanayohusu kunuka k**ma, kule hawahitaji ushahidi, utasema vile kichwa chako kinavyoamini
 
Nitapenda uweke data toka kwenye vyanzo huru na siyo hizi za ndani zenye ukakasi hadi akina Zitto wanazikosoa.

Sijui unaongelea uchumi upi wewe, macro au micro???

Wakenya wengi wanajihusisha na biashara ya online na hivyo kuhisi Wana unemployment rate kubwa lakini wamejiajiri sana. Pengine ni mara Mia yetu sisi. Hebu fuatilia kuhusu " juakali "
Wewe kweli huna hoja, ulishaona chanzo cha hapa ndani kikatoa takwimu za nchi nyingine? Unaishia kusema akina zito ikiwa na maana zito akikubali na wewe umekubali, akikataa na wewe unakataa!

Tanua akili na utumie mda wako kusoma kabla ya kuleta upupu hapa!


Ndo maana hata kwenye hii taarifa ya polisi unauliza khs tz wakati nimeambanisha taarifa yote hapo.

Jipange upya unatia aibu!
 
Yes is among the LDC, in the same group with Angola, but remember Angola's GDP is above $150B, bigger than that of all EAC combined.

But like that of Angola, despite being in the list of LCD, majority of Tanzania are not poorer like Kenyans, Tanzanians don't suffer or dying of hunger like Kenyans, unemployment is not as big as that of Kenya, gap between rich and poor is insignificant, no slums, no insecurity, no corruption, so which is better country for ordinary person to live in?
Bottom line Angola and Tanzania are in the LCD category while Kenya is in the middle.... Malizia bila aibu kaka.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Who lives in the shadows of the other? FYI, 43% of kenyans lives below poverty line whilst that of tz is abt 22%.

If your brain serves you well, you should clearly know who lives in the shadows of the others.
With all that info Kenya still ranked as a middle income Nation... Fact.

With all that info Tanzania(LCD) still ranked way behind Kenya...Fact.
 
With all that info Kenya still ranked as a middle income Nation... Fact.

With all that info Tanzania(LCD) still ranked way behind Kenya...Fact.
I think that will help you realise that you're ranked to a position you don't deserve.
 
Huna unalojua zaada ya maneno ya udaku tu, wewe na Hamisa Mobeto ndiyo level zako, huku hatujadili hivyo, huku kila ukisema jambo lazima uambatanishe na ushaidi, ngoja nikufunze jinsi ya kujadili mada ki utu uzima, Tanzania ipo mbele katika kukua kwa uchumi 7%, Kenya 5.6%, unemployment Tanzania 22%, Kenya 43%, hivyo ndiyo unapaswa ujenge hoja, sio ujisemee maneno matupu kama mlevi, nani atakuamini?

unapoteza muda wako kaka kuongea na zuzu Nyakageni. nakushauri uachane naye.
mtu kabisa anaona article inaeleza Kenya ni miongoni mwa nchi tatu zinazoburura mkia kwenye issues za internal security services. Yeye anasema Kenya iko juu kwa kila kitu.
hebu muulize ameieleea hii article??
 
unapoteza muda wako kaka kuongea na zuzu Nyakageni. nakushauri uachane naye.
mtu kabisa anaona article inaeleza Kenya ni miongoni mwa nchi tatu zinazoburura mkia kwenye issues za internal security services. Yeye anasema Kenya iko juu kwa kila kitu.
hebu muulize ameieleea hii article??
Ninashukuru sana kwa ushauri wako, ngoja niachane naye zuzu hilo
 
Mkuu huyu achana naye hana takwimu yoyote anayoweza kuleta hapa kuthibitisha argument yake!
Hebu wekeni takwamu ambazo mumezipika na hazipo kwenye papers kama za Wakenya tuone...Tena mnasema Botswana iko sawa kiuchumi na he Tanzania iko kwenye ligi moja na Botswana?
 
Nitapenda uweke data toka kwenye vyanzo huru na siyo hizi za ndani zenye ukakasi hadi akina Zitto wanazikosoa.

Sijui unaongelea uchumi upi wewe, macro au micro???

Wakenya wengi wanajihusisha na biashara ya online na hivyo kuhisi Wana unemployment rate kubwa lakini wamejiajiri sana. Pengine ni mara Mia yetu sisi. Hebu fuatilia kuhusu " juakali "
Hahaha we ni Mr Shika nini?
 
Hebu wekeni takwamu ambazo mumezipika na hazipo kwenye papers kama za Wakenya tuone...Tena mnasema Botswana iko sawa kiuchumi na he Tanzania iko kwenye ligi moja na Botswana?

usiniweke mdomoni maneno ambayo sijasema. sijailinganisha Botswana na Tanzania. wao wako mbali sana. nchi nyingi za southern Europe hazifui dafu kwa Botswana. na sasa Namibia. the guys are more clever than the cleverer. na waTanzania wote are obsessed with that country. we think have a lot to learn from these clever guys.
please register that.
 
usiniweke mdomoni maneno ambayo sijasema. sijailinganisha Botswana na Tanzania. wao wako mbali sana. nchi nyingi za southern Europe hazifui dafu kwa Botswana. na sasa Namibia. the guys are more clever than the cleverer. na waTanzania wote are obsessed with that country. we think have a lot to learn from these clever guys.
please register that.
Umempa jibu Mubashara! Angejua kuwa hata kwenye issue ya madini tulienda Botswana kujifunza asingebwatuka utumbo hapa!
 
I think that will help you realise that you're ranked to a position you don't deserve.
Hahaha povu linakutoka dawa inavyozidi kukuingia...Wataka kusema taasisi zinazotoa such data zinawaonea kijicho na kutupendelea sisi wakenya??? Hahahaha nenda hospitali ukapimwe high blood pressure kisha umalizie na mental hospital.
 
usiniweke mdomoni maneno ambayo sijasema. sijailinganisha Botswana na Tanzania. wao wako mbali sana. nchi nyingi za southern Europe hazifui dafu kwa Botswana. na sasa Namibia. the guys are more clever than the cleverer. na waTanzania wote are obsessed with that country. we think have a lot to learn from these clever guys.
please register that.
Wivu utakumaliza babaa...Botswana has a population of 2million so sioni their cleverness when it comes to sharing their nationals cake as compared to Tanzania with the same mineral resources and a population of more than 50million.
 
Back
Top Bottom