Kenyan punter wins $2.0 mill or £1.6mill!

Kenyan punter wins $2.0 mill or £1.6mill!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Screenshot_2017-05-03-09-45-39.png
 
Eeeeh.. Wah.... 200 million Kenyan Shillings
 
Kodi ya mapato itakuwa Kshs?.Nisaidie wajuz
 
Hahahahahaha,
Mim nimeulizia kodi
Wewe ni mwajiriwa wa KRA?😀😀
Lakini jamaa yuko na bahati sana.
Pengine bahati kuu ya mwanadamu iko inamnyemelea (kifo)
 
Wana jf niombeeni niko safarini naelekea iringa
 
Wewe ni mwajiriwa wa KRA?😀😀
Lakini jamaa yuko na bahati sana.
Pengine bahati kuu ya mwanadamu iko inamnyemelea (kifo)
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Usimuombee mabaya mkuu
 
Hakuna kodi kenya ....atleast mpaka 2018 so 2.24mn$ yote ni yake
Hiyo pesa hapewe mkononi, inakwenda straight in his bank account. Huko anakuta KRA wanasubiri Capital Gains Tax. Hata akiweka fixied deposits, KRA wapo tuu. Akinunua property stamp duty ipo inamgoja. You can't run away from KRA.
 
ngai mwathani...yani hii ninja story yake imechapa u turn mara one tym..walae kuna wasee huwa na kismat mazee
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Usimuombee mabaya mkuu
Sikumuombea apate hiyo jackpot na amepata, kwa hiyo maombi yangu hayako na weight ya ku trigger utekelezaji.
 
Tatizo la kamari ukianza haauchi, bado atafuata akitaka kuendelea na hapo ndio wataanza kurejesha vihela vyao. Kama ana akili asepe kabisa, yaani asahau mambo ya kamari kama alivyosahau matiti ya mama yake. Aingie kwenye biashara ya ujenzi wa majengo mjini na kula hela yake kama ametulia, asiingie kwenye mihemko ya aina yoyote, kwanza bado kijana...
 
Tatizo la kamari ukianza haauchi, bado atafuata akitaka kuendelea na hapo ndio wataanza kurejesha vihela vyao. Kama ana akili asepe kabisa, yaani asahau mambo ya kamari kama alivyosahau matiti ya mama yake. Aingie kwenye biashara ya ujenzi wa majengo mjini na kula hela yake kama ametulia, asiingie kwenye mihemko ya aina yoyote, kwanza bado kijana...

Ushauri mzuri huu. Watu wengi ambao washawahi kupata Pesa nyingi kwa mkupuo huishia kuwa maskini kuliko walivyokuwa kabla ya kupata hiyo Bahati.
 
Hiyo pesa hapewe mkononi, inakwenda straight in his bank account. Huko anakuta KRA wanasubiri Capital Gains Tax. Hata akiweka fixied deposits, KRA wapo tuu. Akinunua property stamp duty ipo inamgoja. You can't run away from KRA.
Mnajifanya mnajua ya kenya sana mpaka mna boa

Hakuna Tax on gamblers but kwa betting firm yenyewe

Sasa watu hushinda 50-100k weekly basis Wanataxiwa na nani??

Hyo ya bank ni mengine ....
 
Back
Top Bottom