ojey
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 1,148
- 816
Indians (asians) are now the 44th tribe in Kenya. The president granted their recognition.Hakuna cha ushallow minded hapa huyo ni baniani aka muhindi... labda kama MNA dual citizenship
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Indians (asians) are now the 44th tribe in Kenya. The president granted their recognition.Hakuna cha ushallow minded hapa huyo ni baniani aka muhindi... labda kama MNA dual citizenship
So, u Tanzanians do not accept Indians as bona fide citizens of Tanzania?Dewji came from Gujarat since 16th Century while Bakhresa has been there since Oman Kingdom in Zanzibar. Most of them have one passport while ur Indians r dual nationalities. keep boasting of a succes of Canadian living in Kenya
Anasema huyo Dewji amezaliwa Singida na ameshakuwa mbunge wa Singida, babu babu wake alihamia bongo karne ya 16, na huyo Bhakresa wapo tokea enzi za Sultan Zanzibar. Na wote hao wana uraia mmoja tu, wa Tz. Yaani nchi yetu ukitaka kuwa RAIA wake lazima ukane kwenu.So, u Tanzanians do not accept Indians as bona fide citizens of Tanzania?
Hongera zake huyo dogo wetu,kenya hoyeee!, kalugha ka malkia kanawatatizaga sana waswahili so najua kwenye ranking bila shaka wametoka kapa[emoji3] [emoji3] [emoji191]
Anasema huyo Dewji amezaliwa Singida na ameshakuwa mbunge wa Singida, babu babu wake alihamia bongo karne ya 16, na huyo Bhakresa wapo tokea enzi za Sultan Zanzibar. Na wote hao wana uraia mmoja tu, wa Tz. Yaani nchi yetu ukitaka kuwa RAIA wake lazima ukane kwenu.
Tofauti na kwenu anaweza akawa yupo mguu mmoja ndani ya Kenya mguu mwingine ndani ya India/ Canada. Yani anaweza zaliwa Canada na akawa anaishi Canada na akawa raia wa Kenya.
Maybe in Tanzania. Not in Kenya.Wakati mkoloni anatawala Kenya heshima ilikuwa inatolewa kwa Mzungu kwanza, anafuatia Muhindi, mwisho Mwafrika. hii haijabadilika mpaka leo.
You can bury your head on sand, lakini Wahindi walivyoletwa kujenga reli na mkoloni, they were looking down on blacks. Hali haijabadilika, Muhindi bado ana rule business world ya Kenya, very few if any are in prison and yet their the most corrupt in Kenya. Huku wakiwa na duo citizenship.Maybe in Tanzania. Not in Kenya.
Aisee ndio maana wanamshangilia mhindi?Huko Kenya weusi ni maboya
STOP talking your idiocy nonsense out on a bright 13 year old innocent kid. Sometimes you have to use your brains a little, i wonder how many times that kid is brighter than you. And all you haters who just hate on anything and everything.Mbona jina ni la mhindi?
Mimi sijasema hakuna wahindi wazungu waarabu waliozaliwa Kenya.Kwa hivo mnadhani hapa Kenya, hamna wazungu, warabu na wahindi ambao ni wakenya 100%, ambao mababu zao walihamia huku zaidi ya karne 100 iliyopita?
Jamani, si warabu walitua kwenye pwani ya Kenya na Tanzania kwa at the same period?
Mnadhani hamna wanasiasa wahindi Kenya, wbunge ambao ni 5th generation of Indian Kenyans?
Hii suala ya dual citizenship ilikuwa introduced hivi karibuni 2010, lakini haibadili ukweli ya kwamba hawa wazungu, wahindi na warabu ni raia wa Kenya, katiba kwa sasa inawakubalia kuwa dual citizens.
Kweli hubadilika kutokana na mazingira, kuna mhindi anaitwa harbinder Seth ana asili ya Kenya amefungwa juzi juzi tu huku kwa sababu ya uwizi wa Mali ya uma. Nasikia ameiba sana kwenu pia. If that's aggressiveness to you we call that unyang'au.Halafu sijui kama usha notice Wahindi wa Bongo walivyo maboya. Jaribu kufanya nao deal yoyote wapo ovyo and not as aggressive kama Wahindi wa Kenya. Wabongo huwa wanataja Dewji tu siku zote.
Nafikiri kale kamsemo binadamu hubadilika kulingana na mazingira.
Mimi sijasema hakuna wahindi wazungu waarabu waliozaliwa Kenya.
Nilichokuwa nasema ukisikia mtanzania mwenye asili ya uhindi/ mzungu/ arab ujue ni mtanzania asilimia mia. Either amezaliwa au amehamia. Hana uraia mwingine zaidi ya utanzania. Ndio maana yangu
Hahaha....iconoclastes is owning this threadWhen they are from Kenya, they are Indians. But when it is Dewji or Bahkressa, then they are Tanzanians!
Kweli hubadilika kutokana na mazingira, kuna mhindi anaitwa harbinder Seth ana asili ya Kenya amefungwa juzi juzi tu huku kwa sababu ya uwizi wa Mali ya uma. Nasikia ameiba sana kwenu pia. If that's aggressiveness to you we call that unyang'au.
Ofcoz, common sense tu hapo. Hao wenye uraia mbili si wakenya 100%. Hata vitabu vya dini husema mshika mbili, moja humponyoka. Anaweza isnitch Kenya akaenda kuishi kwingine. I know sababu you're patriotic to your country hutaona sense in this, but it is like thatWhat are u saying? Hawa wa Kenya sio raia 100%?
Wewe endelea kudanganya na kujidanganya hivyo hivyo, watu huku tunachapa kazi, tunajionea na kushuhudia mabadiliko na ukuaji.Hilo la wizi lipo kote, wabongo kwanza nyie wezi balaa, nakumbuka mlituhumiwa kuiba hela za wahanga wa tetemeko la ardhi, mkatuhumiwa kuiba hata za wale wahanga wa ajali ya watoto Arusha. Hivyo ipo kwenye damu yenu, labda kwa wale wasiowajua.
Kwani huyo Seth alikuja akavunja benki mwenyewe, nyie hapo si ndio mlicheza naye michezo ya kuibia serikali.
Kile ninachosema kuhusu mazingira ni kwamba, wahindi wanafahamika kuwa wachapa kazi sana, lakini wakifika Bongo wanakua wavivu kupita maelezo maana wanakuta mazingira ya kizembe zembe. Nimekaa vikao na wahindi wa Bongo kwenye kujadili biashara, lakini wengi are non-starters, ovyo kabisa, sio kama wahindi wa Kenya yaani ukiwa naye kwenye kikao inabidi uwe makini maana anakua na kasi ya ajabu kimawazo.