What is what?What is Kiswahili?
Muembu huyo.This is probably the Ugliest Swahili I ever witnessed, Kiswahili Kibovu [emoji51]
Wanachanganya sana lugha kitu ambacho ni kiashiria cha kutokumudu lugha zote mbili vizuri.This is probably the Ugliest Swahili I ever witnessed, Kiswahili Kibovu [emoji51]
WaTANZIA wanataka kufundisha nchi za afrika kiswahili na hawajui mnyambuliko wa vitenzi.This is probably the Ugliest Swahili I ever witnessed, Kiswahili Kibovu [emoji51]
WaTANZIA wanataka kufundisha nchi za afrika kiswahili na hawajui mnyambuliko wa vitenzi.
Kufundisha somo lenyewe na kuzungumza lugha ni tofauti sana. Mpo vizuri kuongea hii lugha lakini kufundisha msijidanganye.
Jinsi mnavyoandika humu inadhihirisha walimu wenu wanawafundisha vibaya sana. K.m. hamjui kutofautisha r na l,Umewahi kutana na Mwalimu wa Kiswahili to Tanzania?
ha ha kwani hata wewe ni "MuMbue"Muembu huyo.
Jinsi mnavyoandika humu inadhihirisha walimu wenu wanawafundisha vibaya sana. K.m. hamjui kutofautisha r na l,
dh na z , th na s.
Juzi mlisema hakuna neno 'funza' katika kiswahili
Shule ya msingi tuliambiwa kisawe chake ni 'tekenya' wale wadudu wanaoTEKENYA miguu ya wakaazi wa mbeya na kigoma hadi wanafikiria ni uchawi na kutoroka makwao.Funza maana yake ni Maggot, ama Jiggers wale Funza wanaomaliza Miguu ya Maelfu ya Wakenya kule mashinani.
Hahaha hicho kiswahili ni kibovu kweli. Hicho kiswahili kimeoza kikaozeanaThis is probably the Ugliest Swahili I ever witnessed, Kiswahili Kibovu [emoji51]
Hawa jamaa siyo English wala kiswahili zote broken mkenya lugha anayoongea kwa ufasaha ni lugha mama tu Kikuyu , Masai ,luo n.k
dada acha upuuzi bana,wewe niaoni yupo asiyeelewa sababu ya hilo swala?iJinsi mnavyoandika humu inadhihirisha walimu wenu wanawafundisha vibaya sana. K.m. hamjui kutofautisha r na l,
dh na z , th na s.
Juzi mlisema hakuna neno 'funza' katika kiswahili