Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Unakosea sana kutumia jf kama source yako... Unakosea sana.... Hasa kutoka kwenye lile jukwaa la siasa... Mule kuna watu wanaendeshwa kwa mihemko...Kikwete ameacha deni la taifa likiwa around 35 tri./=....leo lipo around 51 tri./=....na si 55 tri kama unavyotuaminisha...Leta habar kutoka source za kuaminika... Wachana na jukwaa la siasa na blog uchwara.... Bora utoe habari MMU sio lile jukwaa..I don't use Wikipaedia at all!, better world bank, imf, cia na government statistics.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Damn, why you had to do him like that thoHuu uzi unahitaji kushirikisha ubongo kuujadili, sio aina ya zile ngonjera zenu vijiweni, malofa kutwa porojo, jua likiwaka sana mnasogea kwenye kivuli hadi siku inaisha hamjakuza wala kuzalisha chochote, hivyo hamna haja ya kukojoa humu...
Kudos NSE, a BM climbing at 74% is no joke....
Unakosea sana kutumia jf kama source yako... Unakosea sana.... Hasa kutoka kwenye lile jukwaa la siasa... Mule kuna watu wanaendeshwa kwa mihemko...Kikwete ameacha deni la taifa likiwa around 35 tri./=....leo lipo around 51 tri./=....na si 55 tri kama unavyotuaminisha...Leta habar kutoka source za kuaminika... Wachana na jukwaa la siasa na blog uchwara.... Bora utoe habari MMU sio lile jukwaa..
Hahaha.... So where does wikipedia get all those information from...?
🤣 tough tackle!Huu uzi unahitaji kushirikisha ubongo kuujadili, sio aina ya zile ngonjera zenu vijiweni, malofa kutwa porojo, jua likiwaka sana mnasogea kwenye kivuli hadi siku inaisha hamjakuza wala kuzalisha chochote, hivyo hamna haja ya kukojoa humu...
Kudos NSE, a BM climbing at 74% is no joke....
Hiyo ilitangazwa katikati ya mwaka jana na waziri wa fedha na mipango... Au wewe unajua kushinda yeye...
Data kuhusu nchi zipo wazi.. Hawawekiweki uwongo.... Mpaka article yako idumu mule ni imethibitishwa kuwa ya kweli..... Au weka hapa taarifa yoyote uliyodanganywa na Wikipedia..
Data kuhusu nchi zipo wazi.. Hawawekiweki uwongo.... Mpaka article yako idumu mule ni imethibitishwa kuwa ya kweli..... Au weka hapa taarifa yoyote uliyodanganywa na Wikipedia..
Hayo wapelekee kule siasani watakupigia makofi..Your debt to GDP ratio is approximately 40 - 43%., confirm., then do the maths, though awali some reports indicated in projection 37.5%., nonetheless, with the relatively low revenue in relation to the population, a GDP of $62B., that is not good at all., na bado linaweza endelea kupanda, haswa 2020, miradi ni kibao on the pipeline., n your GDP haina enough muscles the way CCM inajisifia.
Sent using Jamii Forums mobile app