Kenyan & Tanzanian Surburbs

Kutoka nione i picha nilijua hawa watu ni kupuuza alafu wapuzi kina mulisaa ukiwashika na i wanakwambia hapo ni kigamboniView attachment 761817
Hata mimi nimeshindwa haoni aibu. . .. Wabaki tu na zile picha zao za cbd na kariakooπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Toa huu uchafu hapa😳😳
Mnaushabiki wakijinga kwelkwel...
Mnapoteza muda kutuma nyumba mojamoja izo ata sing'isi kule Arumeru-Arusha zipo
 
Wale mnaoongea kujifariji mnapoteza muda wenu Hamna kitu mnazidi Dar Nyie
 
Wale mnaoongea kujifariji mnapoteza muda wenu Hamna kitu mnazidi Dar Nyie
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hakuna kitu kama icho
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeo
 
Nataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeo
Sasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengi
 
Sasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengi
Nmeangalia huu Uzi vizur picha nyingi ni nyumba mbili tatu sasa ndio mmefanya nn
 
Masaki tu ni mji...ni kubwa kuliko ujinga wenu mnapost apa mkijigamba
 
Yaani kwa akili yako hapa ndio unaita suburbs? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Tususan umeanza kutapatapa kama wenzako kina mulisaaa
Mbona maelezo yangu yalikua wazi sijasema iyo ni suburbs,nilizungumzia uwepo wa apartments nyingi Upanga...
Btw wewe kila quote yako unatafuta kasoro tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…