Sijawah ona mjinga wa type yako jfSioni tofauti na Tandale
Kutoka nione i picha nilijua hawa watu ni kupuuza alafu wapuzi kina mulisaa ukiwashika na i wanakwambia hapo ni kigamboniView attachment 761817
Hata mimi nimeshindwa haoni aibu. . .. Wabaki tu na zile picha zao za cbd na kariakooππππ
Mnaushabiki wakijinga kwelkwel...Toa huu uchafu hapaπ³π³
πππSasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπππWale mnaoongea kujifariji mnapoteza muda wenu Hamna kitu mnazidi Dar Nyie
Hakuna kitu kama ichoπππSasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπππ
Nataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeoπππSasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbsπππ
Sasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengiNataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeo
Sasa we unalia tunaweka picha za nyumba moja moja alafu unafanya vivyohiyoπππMbezi -DarView attachment 762849
Nmeangalia huu Uzi vizur picha nyingi ni nyumba mbili tatu sasa ndio mmefanya nnSasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengi
Most of Upanga ni residential ambayo hamuiwez vilelvileI guess you are all shy, I will begin.
NGONG, NAIROBI, KENYA
NAIROBI, KENYA by findingnimo, on Flickr
NAIROBI, KENYA by findingnimo, on Flickr
NAIROBI, KENYA by findingnimo, on Flickr
NAIROBI, KENYA by findingnimo, on Flickr
Yaani kwa akili yako hapa ndio unaita suburbs? πππ Tususan umeanza kutapatapa kama wenzako kina mulisaaaMost of Upanga ni residential ambayo hamuiwez vilelvileView attachment 762882
Mbona maelezo yangu yalikua wazi sijasema iyo ni suburbs,nilizungumzia uwepo wa apartments nyingi Upanga...Yaani kwa akili yako hapa ndio unaita suburbs? πππ Tususan umeanza kutapatapa kama wenzako kina mulisaaa
Baadhi ya picha za mtaa wa runda aerialview ni ngumu kupataMbona maelezo yangu yalikua wazi sijasema iyo ni suburbs,nilizungumzia uwepo wa apartments nyingi Upanga...
Btw wewe kila quote yako unatafuta kasoro tu