Kenyan & Tanzanian Surburbs

Kenyan & Tanzanian Surburbs

Dar
b23c9c9b5a49fe98191787daddbfe3e5.jpg
22450093_1843914379254736_1890250316978566048_n.jpg
22552322_1843914419254732_1864679255399060234_n.jpg
 
Wale mnaoongea kujifariji mnapoteza muda wenu Hamna kitu mnazidi Dar Nyie
 
Wale mnaoongea kujifariji mnapoteza muda wenu Hamna kitu mnazidi Dar Nyie
😀😀😀Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbs😀😀😀
 
😀😀😀Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbs😀😀😀
Hakuna kitu kama icho
 
😀😀😀Sasa unaleta oicha mbili tu za kawaida(lakini ni nzuri kushinda za kwanza) alafu unakuja kujifari hapa eeh dar ni uchafu kwa nairobi hasaa ikija ni surburbs😀😀😀
Nataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeo
 
Nataka aerial view kama nilizotuma picha moja nyumba zaidi ya mia sio mnatuma nyumba mojamoja mnaanza kupoteza muelekeo
Sasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengi
 
Sasa kama unataka aerialview utarudi nyuma kwa thread kurasa kadhaa utajifunza mengi
Nmeangalia huu Uzi vizur picha nyingi ni nyumba mbili tatu sasa ndio mmefanya nn
 
Masaki tu ni mji...ni kubwa kuliko ujinga wenu mnapost apa mkijigamba
IMG_20171224_160954_740.jpg
IMG_20171230_192304_336.jpg
 
Yaani kwa akili yako hapa ndio unaita suburbs? 😀😀😀 Tususan umeanza kutapatapa kama wenzako kina mulisaaa
Mbona maelezo yangu yalikua wazi sijasema iyo ni suburbs,nilizungumzia uwepo wa apartments nyingi Upanga...
Btw wewe kila quote yako unatafuta kasoro tu
 
Back
Top Bottom