Kenyan & Tanzanian Surburbs

I just realised Kariakoo can be another African country capital city :lol:, au mnasemaje wadau, naweza nikawa nimekosea, haya ni maono tuuu, (IMO)
 
Wa TZ cmuweke hata picha ya MT KILIMANJARO,muonekane mmejitetea,atleast ukiwa angani unaonekana vzuri,ila let me warn u mcje onyesha picha za surburbs zenu,ni aibu ukiwa juu utadhani nyumba zimeungua MOTO!!!
 
Wa TZ cmuweke hata picha ya MT KILIMANJARO,muonekane mmejitetea,atleast ukiwa angani unaonekana vzuri,ila let me warn u mcje onyesha picha za surburbs zenu,ni aibu ukiwa juu utadhani nyumba zimeungua MOTO!!!

:lol::lol::lol::lol:
 
nice picts,tz will never be there atleast not for this generation
 
Nilikuwa sijajua nguvu ya picha. Hivi sasa yale tuliyokuwa tukipigiana kelele kuwa Kenya imeendelea sana kufananisha na Tanzania yako wazi kabisa. Sasa hayo ni majengo na miundombinu tu, bado kiwango cha elimu, civility, (as opposed to ushenzi, uhuni, ulaghai na domo kaya- I feel safer and more respected as a human being in Kenya) na pato la taifa.
Kama nilivyokuwa nikifikiria, wale waliokuwa wakipiga kelele ...ooh bana, chichi...chichi Tanthania....kumbe upeo wa maarifa yao ulikuwa Kariakoo tu. Sasa wameanza kuamka! Tanzania is still a dirty, rough and a poor place (blame whomever you want to)
By the way, I am a Tanzanian!-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…