Kenyan & Tanzanian Surburbs

If you are not ready to be questioned and challenged and if you do not have enough knowledge of what you are saying kindly, do not post in jamiiforums thats for sure, utahaibika!

This reality is one a majority are running away from!
 
Put your record straight
(1) Rais Jakaya Kikwete alisuka upya baraza lake la mawaziri kwa kuwatosa mawaziri sita kati ya mawaziri wanane waliokuwa wametajwa kwa kashfa mbalimbali katika ripoti ya Mdhibiti Mkuu na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), jina la Waziri Haji Mponda na naibu wake alikutajwa. Sasa hiyo ndiyo hatua ya kwanza ya kumuajibisha.
(2) Second, Uhuru Kenyata resigned as a Finance Minister following a ruling of facing trial for crimes
against humanity. But Uhuru remains Deputy Prime Minister, according to the statement which was issued by
President Mwai Kibaki, despite Activists campaigning for him to be barred from public office.
 
wakenya si waoga kama sisi watz

Watanzania si waoga wauliza Waganda watakuambia tulivyomfanya Iddi Amini with his forces. What the TZ forces did is to beat the Ugandan Army which was fighting under the brutal dictator Idi Amin na tukaingia mpaka Kampala na tukawawekea mpaka na Rais Obote chaguo la Watanzania and thats how effectively ended Idi Amin's reign of terror. Acha nyie mnapelekwapelekwa mbio na hao majirani wenu mpaka wa leo mmeshindwa kupata solution!!!
 
wakat mwngne tukubal kwamba tuna mipango mzuri lkn utekelezaj hamna...........nini,..........ufisadi ...nchi ya kitu kidogo na kla ktu ni dili kwa msimamz....
 
The tragedy of it all is that this forum has a mod who cannot remove the slums, skyscrapers and other unrelated images from the thread to maintain its purity.
 

Apart from the notable peddling of our self-righteous introspections, authorities everywhere have their downfalls within EA. Right now even as we chat, debate and exchange ideas...We can smell the prejudices that we bear. In EA we are enclosed in polished cocoons. If not division among tribal lines, it is in political party phsychology. We can put different topics here that entail several subjects and discuss but immediately when we smell tribal and ideological party differences we slide back to our lofty cocoons. And this is where most of you will agree that we still have miles to go in EA. That is the irony with Africa we are torn between oureselves by our political idols that we look upon very much.

Good luck
 

Hii ni Nairobi?:mod:
 

:mod: :mod:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…