Kenyan & Tanzanian Surburbs

Nairobi, Suburbs in the foreground with the rising Upper Hill district as a backdrop.

 
Haha...i have never been in china ila najua hiyo habari aroo.Kwa hiyo usidhani ni kitu kubwa sana ktk huo ubishi wenu.Dunia bado inafahamu kuna CHINESE as a language.Ila ina china Mandarin ndio inabeba flag.Sidhani kk kuna haja ya kubisha mtu wa nje akisema kikuyu is a Kenyan language.Au mbishi wewe unaongea Kikenya( wakati unaongea kijaluo).Au nikisema wakenya wanapenda sifa sana wakati wengi wanavaa suti ila magazeti na maboksi ndio hutumia kuchamba(nikimaanisha jaluo).Hii ni too machi details inayoweza poteza maana.
 
Kitusuru..
This is a reminder that these houses,and hoods are in Kenya and not Dubai,or New york...
wewe nunaweza kuwa mkenya mjinga kuliko wengine wote.Haya majengo kil amahali duniani yanajengwa.Na hata Tz nje ya Dar es Salaama yanajengwa sana.Pengine ni arrangement na wingi tuu.sasa km haya ndio una dhani ni flag careers utakuwa mwehu kabisa.Nairobi ina majengo mengi,Dar ina mengi marefu na mafupi.Apartments , etc.Mengine marefu yanathamani ndogo kuliko mafupi.Ndio maana Paris na London zipo juu kuliko macau, hongo kong pamoja na kwamba hongo sehemu kubwa ya mji mkuu ni skycrapers.Hii inaonyesha Obsession ya wakenya inapokuja suala la TZ.hayo majengo hayawezi shika chart hata miji km arusha,mwanza, etc.Na usitegemee kuwa unaweza jenga wengine wasijenge.Leo Dar ikiwa na hili Kesho nairobi inalo and vice versa.Dar wana stadium nzuri, kesho Kenya nao wanakuwa nazo nyiingi,TZ nao watajenga.Ndio maana hata akili za watz na wakenya hazitofautiani sana.Na kipimo chao ni comparison.Km huamini neda daa kapoteze hata week tembea kidogo,mjini na nje,Halfu rudi Nairobi.Na wa Dar nae afanya hivyo fanya ktk miezi 2 utakuta tofauti kila siku na cha kushangaa kila upande.
 

well aren't you a box of rocks. hate Kenyans much?
 

Whoa, hii nice kiswahiri imeandikwa kwa lahaja ya ugunja au mafia? Ati Hongo Kong?
 
Can someone explain to me abt SOUTH B, C and Westlands? what abt BURUBURU?

I know Ngong and Muthaiga are posh places but dont understand buch about the above areas
 
Whoa, hii nice kiswahiri imeandikwa kwa lahaja ya ugunja au mafia? Ati Hongo Kong?

na hii swahili sijui ya Nairobi au Arusha at mtu anaandika kiswahiri, anafanana na yule aliyeandika Hongo Kong!
 
Nairobi watu wanajenga kwa plan,but dar mtu anajenga bila plan,how can you complete a house on a plot of 100sqm????
Choo utajenga wapi?yani tofali ya ukuta inaamzia kwenye fance ya jirani yako???
In e.africa nairobi is our big brother!!!!!!
 
Yaani we huna lakuongea ,hivi wakenya wanafaida gani na nchi yao maana wanaishi kwa kufanya vibarua kwenye mashamba makubwa ya ma( setla) weusi kama akina odinga ,bora hao wenye sq 100 za bongo maana yupo kwake.pia siku zenu za kutamba zimekaribia kwisha maana speed ya wabongo kwa sasa nikubwa ukiangalia na miradi mikubwa inayoendelea .
 
huna tofauti na maskini anayesema matajiri hawalali kwa kukosa amani wakati hajawai kuwa tajiri na kuexperience first hand utajiri ulivyo. huko ni kujifariji ili angalau arizike na hali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…