Kenyan teenager breaks 10km record in US

Kenyan teenager breaks 10km record in US

CAG amekula kiapo cha utii na uaminifu. Akitolea taarifa za uwongo au kupotosha umma ni kosa la jinai.

Oh, nilisahau kingine mlichotuzidi, viongozi wa serikali kutotii amri za mahakama, hili nalo mko juu sana.

Nimekuambia sio kazi CAG kubaini wizi, yeye anatia dukuduku na kuwaachia wachunguzi kufuata.
Mahakama ya Kenya ndio ya kwanza Africa kubatili uchaguzii mkuu, wacha kale kausanii ka kakoloni kenu ka Zanzibar.
 
Nimekuambia sio kazi CAG kubaini wizi, yeye anatia dukuduku na kuwaachia wachunguzi kufuata.
Mahakama ya Kenya ndio ya kwanza Africa kubatili uchaguzii mkuu, wacha kale kausanii ka kakoloni kenu ka Zanzibar.
Kama unajuwa kama wachunguzi ndio kazi yao mbona unarukia kusema zimepotea wakati uchunguzi hauka kamilika? Halafu swala sio mahakama, swala ni viongozi wa serikali pamoja na polisi wanapewa amri na mahakama, wao ndio kwanza wanazipungia mikono na kuzidharau?
 
Kama unajuwa kama wachunguzi ndio kazi yao mbona unarukia kusema zimepotea wakati uchunguzi hauka kamilika? Halafu swala sio mahakama, swala ni viongozi wa serikali pamoja na polisi wanapewa amri na mahakama, wao ndio kwanza wanazipungia mikono na kuzidharau?

Mkaguzi akisema haoni hela zilivyotumika, kawaida huwa ni wizi hadi siku watuhumiwa watajibu kwa kudhihirisha kwamba sio wizi.
 
Bora utajike kwa kitu walau kimoja, sasa nyie tumewazidi kwa elimu, kiuchumi, teknolojia, kijeshi na kila kitu, kazi yenu mdembwedo tu na kuvaa milegezo mjini.
Mmetuzidi pia na njaa, slums na uchafu, roho mbaya na wizi, na Kuongea kinhereza.
 
Back
Top Bottom