mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Warudi tu nchini mwao.huko hakufai .na hata serikali yao ya Kenya nayo imezubaa.hata kufanya mawasiliano ya kidipromasia na saud wamekaa tu kimya.wanatakiwa wakaze na serikali iingie mkataba na serikali ya Saudi Kama mnataka rain wetu waje wafanye kazi tuingie mikataba.lolote likitokea sisi nchi mbili TUTAWAJIBIKAShida hizi ndo zinatufanya tuteseke. Dah.
Viladimir Putin NI dini gani!?Kinacho waharibu Wasomali ni Dini ya Kiislamu.
Kila kukicha ni kujilipua mabomu tu. Wanalipua mpaka misikiti yao.
Ha...ha...ha.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona unajaribu kutetea kuwa waliofanya hivyo siyo waislamu. Hata viongozi wa serikali waliomuuwa kashogi yule mwandishi kwa kumkata kinyama akiwa hai siyo waislamu, serikali ambayo mnaimwagia pesa toka pande zote za dunia kwa njia ya hija mkiamini mmeagizwa na mungu inachukuwa fedha hizo kwenda kutekeleza mauaji ya kikatili, Waarabu ni washenzi tu kama wenzao wazungu na wahindi. Sisi watu weusi tumedanganywa tu kwenye dini tukajaa. Eti Israel na Saudi Arabia ni nchi takatifu. Hamna lo
Kabla sijakujibu naomba nikuulize swali moja waliomuua yesu mwana wa Maria walikuwa dini gani ?Naona unajaribu kutetea kuwa waliofanya hivyo siyo waislamu. Hata viongozi wa serikali waliomuuwa kashogi yule mwandishi kwa kumkata kinyama akiwa hai siyo waislamu, serikali ambayo mnaimwagia pesa toka pande zote za dunia kwa njia ya hija mkiamini mmeagizwa na mungu inachukuwa fedha hizo kwenda kutekeleza mauaji ya kikatili, Waarabu ni washenzi tu kama wenzao wazungu na wahindi. Sisi watu weusi tumedanganywa tu kwenye dini tukajaa. Eti Israel na Saudi Arabia ni nchi takatifu. Hamna lolote
Walikuwa ni wayaudiKabla sijakujibu naomba nikuulize swali moja waliomuua yesu mwana wa Maria walikuwa dini gani ?
Je uyahudi unaruhusu kuuawa watu?Walikuwa ni wayaudi
Aliyeshiba hawezi kuwaza hiki unacho kiwaza. Anawaza kwani aliwaambia waende? Anyway labda kwa hiki kilichotokea serikali itaingilia katiWarudi tu nchini mwao.huko hakufai .na hata serikali yao ya Kenya nayo imezubaa.hata kufanya mawasiliano ya kidipromasia na saud wamekaa tu kimya.wanatakiwa wakaze na serikali iingie mkataba na serikali ya Saudi Kama mnataka rain wetu waje wafanye kazi tuingie mikataba.lolote likitokea sisi nchi mbili TUTAWAJIBIKA
Sidhan.au labda wapigeAliyeshiba hawezi kuwaza hiki unacho kiwaza. Anawaza kwani aliwaambia waende? Anyway labda kwa hiki kilichotokea serikali itaingilia kati
Hao jamaa walikufa vibayaa sana na hata maiti zao zilidharaurika .soma habari zao.abuu rahab ametajwa mpaka kwenye Quran kuwa ameangamia
Naskia hawafugi kabisa ni haram kwaoBinafsi arabuni na nchi nyingi za nje ni hatar sana kwa hapa cheap labour.
Kingine ni binafsi sijawai kuona muarabu ambaye ni muislamu akafuga mbwa kwa hapa bongo...yaani nazungumzia bongo huko Saudi sijafika..
Ulisikia wapi?Naskia hawafugi kabisa ni haram kwao