Kenyans are arrogant criminals and they are not welcome in our country: opinion polls reveal

Kenyans are arrogant criminals and they are not welcome in our country: opinion polls reveal

PROF.MUHONGO "WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI, WAVIVU KUSOMA NA WASHAMBA WA UWEKEZAJI"




WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameingia katika mgogoro mwingine wa uzembe wa matumizi ya ulimi. Hilo lilitokea juzi katika ukumbi wa Classic Ubungo Plaza mbele ya viongozi wa dini kutoka kote nchini ambapo waziri huyo alikuwa akiwahutubia viongozi hao kuhusiana na sekta nzima ya madini na rasilimali za nchi. Kongamano hilo liliandaliwa na Kamati ya Kudumu ya viongozi wa dini inayojishughulisha na utetezi wa rasilimali za nchi na haki za wananchi.

Viongozi waliohudhuria walitoka Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Tume ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) pamoja na asasi za kiraia za haki madini, Policy Furum, Norwegian Church Aid, Ongea na wawakilishi wa taasisi za elimu ya juu hapa nchini.
And still they make Kenyans shit daily as hunger is ravaging that country!
 
PROF.MUHONGO "WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI, WAVIVU KUSOMA NA WASHAMBA WA UWEKEZAJI"




WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameingia katika mgogoro mwingine wa uzembe wa matumizi ya ulimi. Hilo lilitokea juzi katika ukumbi wa Classic Ubungo Plaza mbele ya viongozi wa dini kutoka kote nchini ambapo waziri huyo alikuwa akiwahutubia viongozi hao kuhusiana na sekta nzima ya madini na rasilimali za nchi. Kongamano hilo liliandaliwa na Kamati ya Kudumu ya viongozi wa dini inayojishughulisha na utetezi wa rasilimali za nchi na haki za wananchi.

Viongozi waliohudhuria walitoka Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Tume ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) pamoja na asasi za kiraia za haki madini, Policy Furum, Norwegian Church Aid, Ongea na wawakilishi wa taasisi za elimu ya juu hapa nchini.
Bwahaaaaa bwahaaaaa!
Hilo Mimi nakubali lakini uvivu unaisha kwa kupenda kazi lakini wizi sawa yake ni jela . Sasa sijui mtafunga nchi nzima ili uisheeee
 
PROF.MUHONGO "WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI, WAVIVU KUSOMA NA WASHAMBA WA UWEKEZAJI"




WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameingia katika mgogoro mwingine wa uzembe wa matumizi ya ulimi. Hilo lilitokea juzi katika ukumbi wa Classic Ubungo Plaza mbele ya viongozi wa dini kutoka kote nchini ambapo waziri huyo alikuwa akiwahutubia viongozi hao kuhusiana na sekta nzima ya madini na rasilimali za nchi. Kongamano hilo liliandaliwa na Kamati ya Kudumu ya viongozi wa dini inayojishughulisha na utetezi wa rasilimali za nchi na haki za wananchi.

Viongozi waliohudhuria walitoka Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Tume ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) pamoja na asasi za kiraia za haki madini, Policy Furum, Norwegian Church Aid, Ongea na wawakilishi wa taasisi za elimu ya juu hapa nchini.

Hehehe!! Tunawaambia kila siku lakini badala ya kurekebisha wanatokwa na mapovu, haya waziri wao kawaambia, na watamtukana hadi akome.
 
keep provoking kenyans and stirring that xenophobia .....mlianza na minister wetu.... ma sanctions za UDU.... but in all this be careful what you wish for.... every thief in tanzania being branded Kenyan itafika watu kwa koo na hamtapenda...... we are not stocking weapons to fight militias .....u will end up pissing the right people off and regret it!!
But sammuel999, hiyo utafiti imefanywa na your own countrymen, how dare you blame Tanzania,
Sio haki yako kulaumu the loyal Tanzanians kwa kusema wakenya ni wezi,
Hata tafiti mmefanya huko kwenu inaonyesha 8/10 Kenyans ni wezi,
Is that our fault?
No one will brand a Tanzanian thief kenyan
 
If this opinion-poll story is true, (which I doubt) do Kenyans really give a rat-sh*t that most Tanzanians dislike them? Kenyans have always known that, this aint news to them at all. It aint a big deal.
Tz can exit the EAC for all we care.
Mkuu is there EAC without Tz,
Are you even thinking carefully?
 
keep provoking kenyans and stirring that xenophobia .....mlianza na minister wetu.... ma sanctions za UDU.... but in all this be careful what you wish for.... every thief in tanzania being branded Kenyan itafika watu kwa koo na hamtapenda...... we are not stocking weapons to fight militias .....u will end up pissing the right people off and regret it!!
Pissing who off? Hahahahaaa niache nicheke niongeze siku.
Haumtishi mtu!
 
Okuyus wameiba land Kenya wamevimbiwa sasa wanataka kuja kuiba Tanzania........tunasema muishie huko huko......huku mtakiona cha mtema kuni!
 
Back
Top Bottom