Kenyans are Monkeys

Hapo mtakua hamjamtendea haki huyo mchina. Huyu ilitakiwa awe deported baada ya miaka kama mitano hivi ya kunyea ndoo!!
Hawana uwezo wa kumuweka ndani mchina, nchi ombaomba hiyo. Kenya wanathamini sana pesa kuliko UTU na thamani ya binadamu, Kenya is really a failed State
 
Mchinku anapanda ndege moja kwa moja hadi Uchina.
 
😁 😁 😁 kuna mchina mmoja alitaka kuleta za kuleta Geita kwenye mgodi mmoja anajua mwenyewe alichokipata
 
Are you trying to say he would call tanzanians white monkeys?
 
D.C.I siku hizi wamekuwa serious sio mchezo, hizi mugshot zao kwenye picha na majina ya suspects na fingerprinting na kuvalia gloves wanapo'handle' evidence ni very proffesional. Kinoti anabadilisha mambo pale Kiambu. Msimu wa maandamano ukiwadia kwa majaaliwa ya Mungu lazima hata mimi pia ntapata mugshot yangu. Hapo chini ntawaambia waandike Destroyer of public peace/Public nuisance. [emoji1]
 
Copy and paste from TZ
 
Copy and paste from TZ
Nakuona unavomeza matapishi yako kama mbwa koko.
Hawana uwezo wa kumuweka ndani mchina, nchi ombaomba hiyo. Kenya wanathamini sana pesa kuliko UTU na thamani ya binadamu, Kenya is really a failed State
Copy and paste ni hii hukumu kutoka kwa senior resident magistrate huko Tanzania. [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sipati picha angesema hvyo akiwa tz maana mpk saa hii [emoji2] [emoji2] [emoji2] ingekuwa unforgettable story coz hawa watu wasiojulikana wangelala nae mbele kwa mbele
 
Nakuona unavomeza matapishi yako kama mbwa koko.
Copy and paste ni hii hukumu kutoka kwa senior resident magistrate huko Tanzania. [emoji1][emoji1][emoji1]
senior resident magistrate ndie ka massacre kizungu hivyo???
ze ze ze ze ze ze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…