joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hawana uwezo wa kumuweka ndani mchina, nchi ombaomba hiyo. Kenya wanathamini sana pesa kuliko UTU na thamani ya binadamu, Kenya is really a failed StateHapo mtakua hamjamtendea haki huyo mchina. Huyu ilitakiwa awe deported baada ya miaka kama mitano hivi ya kunyea ndoo!!