Police were given instructions , day light, that "lay them down".. (not official translation.... walaze)Rwanda killed 37 petty criminals, Human Rights Watch says - BBC News
Just look for that story on the Rwandan press. If it exists at all it would be about denying the report. The Rwandan govt furiously denied and condemned the BBC and the HRW for highlighting those killing. So, would the local media really dare to report that?
Even in Tanzania criminals are being killed by the police. I read about an incident in which some robbers were killed in some place I cant recall in Tanzania by the mob, and the police were present and did nothing to stop them. They tacitly permitted the lynching.
That is a classic case of extra- judicial killing. The police is not supposed to kill unarmed suspects. And it is only the court of law which is supposed to sentence one to death upon finding them guilty of the offence.Police were given instructions , day light, that "lay them down".. (not official translation.... walaze)
Mpeni halafu tuone kubadili Katiba kwa viongozi wa hulka ya RAO ni rahisi sana..Ndio, naelewa ya kwamba power is sweet, and the temptation to consolidate power can be really overwhelming, usifikiri Uhuru ni mtu mwema kivile, hata yeye anatamani kuwa na that authority ya Kimagufuli au Museveni.
Hata mimi 😀
In his first months in power, Uhuru alianza na fujo tu, kutoa amri hapa na pale, kufanya hili na lile bila ya kuconsult institutions zilizopo kwa mujibu wa kisheria, kelele zikawa nyingi na akapata kuaibishwa na bunge pamoja na mahakama.
Ntakupa mifano ya Anti-terrorism law na Media law ambazo alitaka kupitisha kimabavu style ya Kibaki na Moi.
Upinzani, mahakama, hasasi za raia na bunge zikampa "Red card". Akafyata.
Nchi hizi zote za EA zina serikali mithili ya kidikteta kwasababu katiba za nchi zao (ambazo wao wenyewe ndio walitunga) zimewapa mamlaka hizo, na pia raia hawahusishwi katika kutunga na kutekeleza sheria za nchi.
Katiba ya Kenya...hatusemi ni perfect, lakini wananchi wako involved sana katika uongozi wa nchi. Ili hata kubadili kipengee fulani ya katiba ni lazma wananchi kuhusishwa.
Siku za jumapili huwa unakuwa na akili za kukubwa.Binafasi mimi sio shabiki wa Raila na wala sitampigia kura, lakini maamuzi ya kumpigia au kutokumpigia hayatatokana na matukio ya nchi majirani zetu au urafiki baina ya maswahiba. Huo utakua unafiki, vipi leo hii rais Uhuru ana uswahiba na Kagame, ina maana kwa jinsi tunaskia sifa mbovu za Kagame, hivyo tumsusie Uhuru au vipi.
Kwa kweli nimeona taarifa za jinsi Magufuli anaendesha Tanzania, japo ana maamuzi mazuri kiuchumi lakini kisiasa anakandamiza kabisa, nimeona amezidisha kamata kamata na lockup kwa wapinzani. Juzi kamkamata kiongozi wa upinzani bwana Tundu Lissu kisa amemuita 'dikteta'. Kwa Kenya ni vigumu sana kufika huko maana tunaongozwa na katiba mpya ambayo ni bora zaidi ya nyingi Afrika.
Kwetu rais hana uwezo wa kuamrisha amrisha hizo kamata kamata, maana taasisi zina uhuru wa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa. Siku za mwanzo rais Uhuru alijitoa ufahamu akajaribisha hizo sera za kizamani, lakini aliishia aibu maana apingwa kwa kila hatua isiyoendana na katiba hadi akafikia hatua ya kuwa makini kila anapofanya maamuzi.
Kwa kifupi hata Raila akifaulu kuwa rais wetu, hatoweza kufanya hayo anayofanya rais wenu. Atadhitiwa kwa kila hatua....
Atajaribu tu, lakini it wont be easy.Mpeni halafu tuone kubadili Katiba kwa viongozi wa hulka ya RAO ni rahisi sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata nyie mnaban, yule Gado si mulimkimbiza, Kenya hamna afadhali yoyote wewe unapiga propaganda huku utadanganya wajinga tu.Tanzania media is under lockup, a simple mistake you get two years ban.
Mbona hata nyie mnaban, yule Gado si mulimkimbiza, Kenya hamna afadhali yoyote wewe unapiga propaganda huku utadanganya wajinga tu.
Hahaha Mzee Jomo Kenyatta alikuwa na maneno ya ajabu.. Alimwambia pia Nyerere anatawala Maiti dahRaila Odinga hatakuja kutawala Kenya. Hata kama inatokea anashinda inabidi apokonywe tu ushindi. Raisi wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta alishawahi kumwambia mzee Odinga, ambae ni baba mzazi wa huyu Raila kukwa yeye ni punda wala hastahili kuwa kiongozi kenya. Nafikiri hii bado inaendelea. Kenya haijawa tayari kutawaliwa na akina Odinga.
For real? Kenyatta wasnt like that, labda hawa watu wake kama Njonjo.Hahaha Mzee Jomo Kenyatta alikuwa na maneno ya ajabu.. Alimwambia pia Nyerere anatawala Maiti dah
Kenyatta ashawahi kumwambia Nyerere hivyo mkuuFor real? Kenyatta wasnt like that, labda hawa watu wake kama Njonjo.
Unless kuna documented proof, ndio naeza amini.Kenyatta ashawahi kumwambia Nyerere hivyo mkuu
Nonsense comments!! Indeed you are retired go to hell!Birds of the same feathers fly together, KENYANS, who is the best friend of Raila in East Africa presidents? RAFIKI WA RAILA NI NANI KATIKA MARAIS WA EAST AFRICA. AVOID RAILA!
Ate umete ku? We uhana mwana guiii.....Mimi binafsi natoka central kenya but nadhari Raila ndio best.
Acha tuone atabadilisha nini kwa young kenyans.
Ate umete ku? We uhana mwana guiii.....
Dire na oru, no kwaria na nyee iyoDuh! Nikii nawe?
You are stupid burger! Son of a whore!Nonsense comments!! Indeed you are retired go to hell!