heheee...nimekubana vizuri sana leo...leta hao wakikuyu na wajaluo bana wenye matatitlzo ya ukabila...siku ukileta...nakutumia link za hao black americans alafu bafunga account jf...tumeelewanaNiletee couple ya black na white yenye matatizo ya ubaguzi wa rangi na mimi nitakuletea couple ya Kikuyu na Jaluo yenye matatizo ya Ukabila, "Hii inaitwa lete nilete"
Sent using Jamii Forums mobile app
jibu swali braza..umeulipia kodi mjengo wako na kiwanja...alafu usisahau na kisima...bwahahaaaaaThis shows how landless you are!??
ask the landowners what are the taxes which are liable for?
Soma hiyo hapo, usiwe ukipiga makelele hapa JF simply una bando, hapa kuna sector experts, watakuumbua.
https://www.coursehero.com/file/20854868/Cap-267-The-Rating-Act1/
aha aha haaa.... wewe endelea kulipa kodi kwa landlady wako.
vp wasiojulikana...ama utekaji bado upoAl shaba tu wanawatoa kinyesi
ngoja nikukamate...wapi hapo umeona mtu analipia ardhi kodi au nyumba...bwahaaaa...km huijui kenya kaba...hku unalipia kodi biashara baba...wala si mijengo na ardhi...endelea kujifarijiThis shows how landless you are!??
ask the landowners what are the taxes which are liable for?
Soma hiyo hapo, usiwe ukipiga makelele hapa JF simply una bando, hapa kuna sector experts, watakuumbua.
https://www.coursehero.com/file/20854868/Cap-267-The-Rating-Act1/
aha aha haaa.... wewe endelea kulipa kodi kwa landlady wako.
jibu swali braza..umeulipia kodi mjengo wako na kiwanja...alafu usisahau na kisima...bwahahaaaaa
ngoja nikukamate...wapi hapo umeona mtu analipia ardhi kodi au nyumba...bwahaaaa...km huijui kenya kaba...hku unalipia kodi biashara baba...wala si mijengo na ardhi...endelea kujifariji
heheee...hakuna mkenya anayelipia kodi ardhi wala mjengo wako...utaumia sana na hzo link zako...bwahahaaaaaha ha ehee hee, unajifanya mkenya, nishakupata.
mimi ni raia mwema huwa natuma hela ya land rent, property levy na mashokolo yoote ya TRA.
kwa hiyo umeelewa kuwa hata kenya wanalipa kodi kama hizo chini ya sheria https://www.coursehero.com/file/20854868/Cap-267-The-Rating-Act1/
bwahahaaa...hakuna mkenya anayelipa kodi ya mjengo wake wala ardhi...heheeeeEndeelea kubishana na sheria wewe mpagazi
The Government of Kenya, The Rating Act (cap 267), 1972 and the Valuation for Rating Act (cap 268), 1972 provide for three
types of rates: area rate based on the size and use of the land; unimproved site value rate is based upon the capital value of the
bare land and the site value; and improvement rate is based on the land and improvements separately.
NB: Wapagazi kama wewe wa kulee kibera huwa hawalipi kodi ya majengo. Wamiliki pekee ndiyo ambao hulipa. Wewe land less huwezi elewa hili.
heheee...hakuna mkenya anayelipia kodi ardhi wala mjengo wako...utaumia sana na hzo link zako...bwahahaaaa
mjengo wako km ni wa rentals utalipia kodi kw sababu ni biashara na inategemea na mahali...lkn eti mjengo wako binafsi wa kuishi hamna hta siku moja utaulipia kodi au ile ardhi...mtangojea sana kufikia level hii...eti serikali inakuuzia atdhi kw miaka flani then una renew miaka ikiisha...ujinga huo...A land less cannot understand this. this tax exists anywhere in the world, even the US has a property levy.
Wewe acha Maneno mengi, kama unasema na kukubali kwamba kuna ubaguzi wa rangi Kati ya whites na blacks in USA, lakini Bado wanafunga ndoa, kwanini Utumie Kigezo cha kuoana Kati ya Jaluo na Kikuyu kuonyesha kwamba hakuna Ukabila?, Kwani kuoana kunaondoa ubaguzi au Ukabila?, umeishiwa Wewe. Kenya ninyi Ukabila utawamaliza, pia ninyi ni wabaguzi sana. Vipi kumtenga na kumbagua raia wa nchi moja, rangi moja ya ngozi, eti kwasababu tu Sio kabila lako unamtenga katika kupata kazi, Elimu na Huduma zingine za kijamii, hovyo kabisa.heheee...nimekubana vizuri sana leo...leta hao wakikuyu na wajaluo bana wenye matatitlzo ya ukabila...siku ukileta...nakutumia link za hao black americans alafu bafunga account jf...tumeelewana
si mtakufa na njaa yenu
Hiyo KQ inakuja mara 47 kwa wiki itakaa juu ya magogo
Acha kabisa mawazo hayo watakupiga wakikuyu wenzio
naskia wewe ndo wa kwanza kuvumbua hilo neno nenda kapewe tuzoDo you Know what you are talking about....ama ndo Mara ya Kwanza kusikia neno squatter?
ila mbona nyie ndo mnaoongoza kulialia kwamba ndo mnaonewa kila siku na si wa Tanzania.....tehSio mara ya kwanza kufungiana mipaka, humu nilishaanzisha uzi ambao ulidhihirisha kitaalam kwamba hatutapoteza sana tukiwatupia nje nje.
Hamna kikubwa mnachotunufaisha nacho zaidi ya kujaza omba omba wenu wachafu kwenye barabara zetu.
ila mbona nyie ndo mnaoongoza kulialia kwamba ndo mnaonewa kila siku na si wa Tanzania.....teh
Uhuru nae anatamani afanye kama unavyo waza wewe ila amebanwa na reality...Wapi tumelia...ningekua rais aisei ningeyafanya maamuzi ya ajabu ya kama Kim wa Korea Kaskazini. Huu uchafu wenu siwezi kuuendekeza, yaani rais Uhuru ananiudhi sana.
Uhuru nae anatamani afanye kama unavyo waza wewe ila amebanwa na reality...
Sent using Jamii Forums mobile app