Kenyans clash with Tanzanian police after businessman is abducted.

Kenyans clash with Tanzanian police after businessman is abducted.

Wapi tumelia...ningekua rais aisei ningeyafanya maamuzi ya ajabu ya kama Kim wa Korea Kaskazini. Huu uchafu wenu siwezi kuuendekeza, yaani rais Uhuru ananiudhi sana.
unaona sasa unatoa chozi kubwa zima
 
View attachment 1055434For hours, demonstrations have rocked the Kenya-Tanzania border town of Namanga.

According to the officer, the demonstration erupted following yesterday’s (Tuesday) abduction of Kenyan businessman of whom the protesters say was driven into Tanzania.




A civil servant in Namanga, whose identity we protect because he is not authorised to speak on behalf of the government, has told Standard Digital that angry demonstrators blocked the road to Tanzania cutting out traffic to and from the two countries.



He says things got nasty when Tanzania police approached a perimeter wall separating the Kenya and Tanzanian sides after which the protesters got more agitated and the Tanzanians lobbed tear gas canisters at them.

He says the Kenyans took advantage of the wind that was blowing towards Tanzania to throw the canisters back at the Tanzanians after which it became an exchange of the irritating gas.

Residents block the Nairobi-Arusha road at Namanga.
When the situation threatened to get out of hand, he says, Tanzanian police fired into the air and the situation had not changed by the time this story was posted online.
Aaaaaah kumbe ni wale wanaume huchapwa wanne wanne na mkenya mmoja
 
Wacha kuwa kichekesho, huko kwenu mwanamke mmoja Mange Kimamba hubabaisha polisi wanakimbia kimbia nchi yote, mtiti wa Kikenya ni tofauti, na ndio maana unaona tumefaulu kuwa na katiba mpya na pia upinzani kuchukua uongozi wa nchi.
Sio kama nyie mumenyon'gonyea miaka yote....
Acha upuuzi wewe; katiba mpya imewasaidia nini kila kukicha mnaibiwa tu.
 
haaa hadi hiyo ngoma unaijua?

mi nilikuwa nasubiri wale waandamanaji wavuke boda waje upande huu wa tz nishuhudie show kali ya ffu,bahati mbaya wakenya walivyo ona ffu wakaanza kurudi kwao mmoja yaani wangethubutu kuvuka boda wangerudi upande wa kenya wakiwa wanatambaa
Yaani sipati picha Defender zilivyokuwa zinatoka ARS huko kwa kasi
 
heheee...hakuna mkenya anayelipia kodi ardhi wala mjengo wako...utaumia sana na hzo link zako...bwahahaaaa
utalipiaje kitu ambacho huna
Screenshot_20190330-004446.jpg
Screenshot_20190330-004631.jpg
 
Watanzania na Wakenya tuache kukuza aina hii za magomvi. Athari zake kwa siku zinavyokuja ni kubwa sana.

Mbona hatujiulizi kwa nini Sirari hatusikii mambo ya aina hiyo, Horohoro na Holili pia?

Kwa bahati nzuri nazijua boda zote, kwa nini iwe ni Tunduma na Namanga tu wakati tumepakana na Nchi nane na boda zaidi ya tisa!

Naijua Zambia naijua Kenya, siasa zao mpaka raia wao. Tukemee hasira za kijinga za Vijana wa hii mipaka. Sipendelei, lakini vitendo vya majirani zetu kuonyesha tatizo la Mtu mmoja kama tatizo la Nchi nzima ni la kishenzi sana.

Hawa Watu wengi wao ni Ndugu kabisa. Ni mipaka tu inawatenganisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Good ideas,mkenya wa kwanza ambae umeongea facts kama wazo langu.Nashkuru kupata mtu mwenye upeo mkubwa.
Note.wenye akili tumekuwa wawili now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kenyan_protests.jpg
Nguvu ya umma ni kitu cha muhimu sana. Wakenya huwa hawana mzaha ikifika kwenye masuala kama haya. Najua vijana wa Sirro hawatadhubutu tena kufanya upuuzi kama huo.
Mchochezi kenge sikupendi kama vyama vya kufa na kuzikana
Nguruwe pori wewe sisi tunatafuta namna tuwe salama wewe unachochea shetani wewe narudia tena shetani.shame of you afu utakuw sio mkenya utakuw msomali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu bila kuwapeleka wimawima hawaelewi kabisa nasikia police wao walikuwa wakiwanunulia vijana chakula na maziwa ili wafanye fujo mpaka pesa ya kununua matairi na petrol imetolewa na police wa Kenya

Cha ajabu hayo yote wanayafanya upande wao huko kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zumbukuku haswa

Sisi tumewapiga mabomu ya machozi hatutaki kelele
Sababu ya haya yote ni nini?!?!?
 
Mchochezi kenge sikupendi kama vyama vya kufa na kuzikana
Nguruwe pori wewe sisi tunatafuta namna tuwe salama wewe unachochea shetani wewe narudia tena shetani.shame of you afu utakuw sio mkenya utakuw msomali

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka tupendane ndio nikupe mhogo au? Kafie mbali na huo uboflo wako.
 
Back
Top Bottom