Kenyans in UK demonstrate requesting Raila to go back home

Kenyans in UK demonstrate requesting Raila to go back home

COLLOH-MZII RELOADED

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2017
Posts
7,544
Reaction score
3,131
7f054e4fe2d1d631c1d6dc01afb7f548.jpg
c5686257c05e8c9633cdea05d762666e.jpg
7ee2e2ab08b4240d9d73cd5cc8210abf.jpg
becf96dbfda9ca5c3ed7c149524b5646.jpg
73b79b976891c883ac50326a8a8ceb81.jpg
 
Mbona hayo mabango yao ni ya ovyo ovyo tu ni kama yalitengenezwa hapa hapa tu mitaa ya River road, Nairobi?
 
wakenya au wafuasi wa jubilei waishio Uk

Wakenya wapenda amani lakini wale ambao hawapendi amani wanakimbia majukumu yao nyumbani na kwenda Ulaya baada ya kutapeli wananchi wanyonge michango ya kampeni kwa M-Pesa!!!!! Mtu anakimbia democracy kwani kura ni 26/10/2017 yeye anakimbia anawachia wapigania urais wengine saba kawa kama Maalim Seif kwa marudio ya Zenj!!! Dawa ni kwamba wale ambao wanashiriki watapigiwa kura na yeye mwache aendeleekutumbua pesa walizochanga masikini kwa M-pesa. Ulaya na Marekani watajua kuwa jamaa kakosa sera ndiyo maana kakimbia. Ukifuatilia tume ya uchaguzi, IEBC imejipanga vizuri sana baada ya kujumuisha pointi mpya 10 kama walivyoelekezwa na koti kuu.
 
Back
Top Bottom