Kenyans risk being jailed for 12 months or paying KSh 2M for failing to refer to an MP as ‘Honorable

Kenyans risk being jailed for 12 months or paying KSh 2M for failing to refer to an MP as ‘Honorable

si ni nyie mlitazama tu mpaka ambapo taasisi na tume za marekebisho zilitoa mapendekezo. kiasi ikawashinda kufuatilia kuwapa maelezo wakenya kama those 'pigs' were implementing them. wakati huu kuna SRC bado shughuli ya mazungumzo kupunguza mishahara inaendelea lakini bado hairidhishi wapiga domo. inasemekana kuwa a populist move.

kando na hayo marupurupu za commitee za bunge nk. hatujali sisi kuhusu mataji wanasiasa watjipa. mulifeli kupiga filimbi wakati uliofaa kuzuia ufisadi sasa imekulia kwenu na jambo kuu kwenu in kulilia hali yenu ya Uhuru wa vyombo vya dola kupeperusha mtakalo. imebaki kila mtu/taasisi kujitumikia....
 
Back
Top Bottom