TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Wewe,, tena siio mjinga ila we ni jingaNani mjinga
Kuna mwingine ambaye alitemea mashabiki mate.Hii iko wazi, msanii yeyote lazima awe mpole mbele ya mashabiki wake, maana hao ndo wanampa pesa! Ujanja wake woote unatakiwa kuonekana kwenye jukwaa tu
Angalia hata huko duniani wasanii wakubwa wanafanyaje wakiwa mbele ya mashabiki wao kwenye nchi nyingine.
Ila ukweli unaujua kwamba unanipiku kwa ujingaWewe,, tena siio mjinga ila we ni jinga
Hizo tabia za kina Chris brown kuvunja simu za wakenya na wanaachwa tu!Kuna mwingine ambaye alitemea mashabiki mate.
Wangehamiaga huko......huko wanafata slope tu za madada zenu wakijua kidume wa bongo katua huko lazima shobo zizidiNa wanalipwa vizuri hapa kuliko bongo
Collabo gani?Huyo Otile Brown bila collabo na king Kiba hata tusingekuwa tunamfahamu Tz, lakini eti ndo bora Kenya.
Kwa sasa wakenya waendelee kujifunza kupitia bongo fleva tu, maana hawajafkia hatua ya kushindana
Ni Justin Bieber alitemeana mate and he also refused to pose with his fans. Pia harmonize ana kiburi sanaHizo tabia za kina Chris brown kuvunja simu za wakenya na wanaachwa tu!
Kenya kunani?Ni Justin Bieber alitemeana mate and he also refused to pose with his fans. Pia harmonize ana kiburi sana
Justin Bieber hajawahi fika Kenya alitemea wenzake huko Canada. He is a brat though I love his songs.Kenya kunani?
Chriss brown kaja Kenya kavunja simu ya mkenya,
Justin bieber kamtemea mate mkenya,
koff olomide kampiga mdenguaji wake akiwa kenya.
Huyo harmonize atapta ujumbe wake maana ndg zake wako humuJustin Bieber hajawahi fika Kenya alitemea wenzake huko Canada. He is a brat though I love his songs.
Harmonize is so full of himself .sijui kwa nini hata diamond hana kiburi namna hiyo
Mfikishieni ujumbe ndio ajifunze kutoka kwa rayvanny na nandy kuheshimu watu na kazi zaoHuyo harmonize atapta ujumbe wake maana ndg zake wako humu
Tz wanajifunza kingereza na ninaona siku za usoni watakuwa wakiimba kwa kingereza maana wakiendelea na bongo flava zao watakosa fans hapa Kenya. Kuna baadhi ya watoto hapa Kenya hawaelewi swahili sasa sioni wakiskiza ngoma za Tz in the near future.
5 out 10 trending artists in Kenya are Tanzanians, of those 10 two are Americans. Only 3 kenyans in top ten Kenyan chart. Acha kelele zisizo na msingi.Tz wanajifunza kingereza na ninaona siku za usoni watakuwa wakiimba kwa kingereza maana wakiendelea na bongo flava zao watakosa fans hapa Kenya. Kuna baadhi ya watoto hapa Kenya hawaelewi swahili sasa sioni wakiskiza ngoma za Tz in the near future.
Am talking about the future not the present5 out 10 trending artists in Kenya are Tanzanians, of those 10 two are Americans. Only 3 kenygans in top ten Kenyan chart. Acha kelele zisizo na msingi.
Justin Bieber hajawahi fika Kenya alitemea wenzake huko Canada. He is a brat though I love his songs.
Harmonize is so full of himself .sijui kwa nini hata diamond hana kiburi namna hiyo
Teh ulishoboka mwenyewe hizo mambo wanaimbiwa watoto wazuri ndo maana wanajazana hizo sio nyimbo za kusikiliza mtu alietoka kufukia githeri na avocado kwenye fulusutiUyo harmonize alikuja show 2 rivers jamaa analialia kwa stage instead ya kuperform..i will never attend any show from this bongo stars....Nliattend show ya Chronixx wa jamaica it was wow...any Jamaican artist never fails kenyans.
Jamaa ana kiburi sana na anadharau wasanii wa Kenya sana. Halafu na maringo yake alijisahau kabisa siku moja 10 over 10 akaanza kuzungumza kimombo. Angeongea swahili badala ya kujiaibisha live. He is improving thoughUyo harmonize alikuja show 2 rivers jamaa analialia kwa stage instead ya kuperform..i will never attend any show from this bongo stars....Nliattend show ya Chronixx wa jamaica it was wow...any Jamaican artist never fails kenyans.
Jamaa ana kiburi sana na anadharau wasanii wa Kenya sana. Halafu na maringo yake alijisahau kabisa siku moja 10 over 10 akaanza kuzungumza kimombo. Angeongea swahili badala ya kujiaibisha live. He is improving though