Kenyans who eat Monkeys

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Some Kenyans eat monkeys.Wanasema nyama yake nitamu kama mbuziπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Watch video.
 
Mnakula albino ..kwanza sai ushakunywa supu
Mgomo wako wa thread ya Dar vs Nairobi unaendelea je ? Nasikia Ichoboy sio mtoto mzuriπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kawanyosha, kilichobaki mnatembea na toilet paper mkoni kila mnapo lambishwa kundu kwenye thread nyingine ! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Nipatie video ya mtanzania akila albinoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ We have caught you red handed. Hiyo tabia Congo walisha acha nie ndo mnaanzaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kuna kabila moja hapo Kenya nasikia mnakula watu. Ipo karibu na Uganda na SudanπŸ˜€πŸ˜€
 
Eti leo ya mla ngedere yanamshangaza mla panya. Mmh! πŸ™‚
Onyesha video ya mtanzania akila panya ! Other than that its just rumours. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kuna jamaa anagombea hadi mchuzi
Nahisi alikuwa MwaswastπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Moderator aliniblock Ku comment kwa hiyo thread juu aliogopa mnashindwa
 
Wewe unakunywa supu sai
 
Collo-MonkeyπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Vipi mgomo wako wa Dar vs Nai ?? Umefikia wapi ?? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Albino eater tell your moderator geza to allow me comment on that thread....Tena alidelete thread yangu ya nyinyi kulamba lolo
 
Albino eater tell your moderator geza to allow me comment on that thread....Tena alidelete thread yangu ya nyinyi kulamba lolo
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Siuna mpya ya Collo-mwizi ?? Mimi mwenyewe thread yangu ya nyinyi kulamba kundu mkiwa na toilet paper mkononi aliifutaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Angali na hapa asije akakupa banπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Eti leo ya mla ngedere yanamshangaza mla panya. Mmh! πŸ™‚

Ahaaa haaa haaa
Yeyote anayekula nyama ya ngedere anaweza kula nyama ya mtu.
Wao ni homo habil sisi homo sapiens. Wote tuna fanana kwa kiasi kikubwa.
 
Wachina wanaka ata mbwa sijaskia mkiwabeza....
 
Ahaaa haaa haaa
Yeyote anayekula nyama ya ngedere anaweza kula nyama ya mtu.
Wao ni homo habil sisi homo sapiens. Wote tuna fanana kwa kiasi kikubwa.
Kama unafanana kwa kiasi kikubwa na ngedere basi ongea kwa niaba yako wewe mwenyewe. Usitujumuishe pia na sisi binadamu wa kweli, tena bila idhini yetu. Hahaha. [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Onyesha video ya mtanzania akila panya ! Other than that its just rumours. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kuna jamaa anagombea hadi mchuzi
Nahisi alikuwa MwaswastπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuna ule uzi wenu nyie wala panya. Humo ndani ulikiri kula panya, tena live bila ya kushawishiwa na mtu yeyote ule. πŸ˜€ Video ya nini wengine wetu tumejionea kwa macho yetu mawili mnavowatafuna 'chamaki nchanga' kule ntwara. Tembea jombaa. Hadi na mikia pia huwa mnaifanyia kweli. [emoji23][emoji23]
 
Kama unafanana kwa kiasi kikubwa na ngedere basi ongea kwa niaba yako wewe mwenyewe. Usitujumuishe pia na sisi binadamu wa kweli, tena bila idhini yetu. Hahaha. [emoji38][emoji38][emoji38]

Hukusoma classification kwenye shule yako ya upili?
Hujui aina za viumbe hai na madaraja yake. basi nenda shule ukaone undugu tulionao na akina chimpanzee. Na tunaweza ku interbreed freely.
Ahaa haaa haaa

Kajikumbushe haya;

Nr Classification
1. Kingdom
2. Phylum
3. Class
4. Order
5. Family
6. Genus
7. Species
 
Mngetumia hiyo 'classification' msingewafanyia paka unyama mnaowafanyia kwa kuwamalizia kitoweo chao cha panya. Alafu kula panya ni sawa tu na kula fisi na wale ndege 'vulture'. Wote ni vifagio au ukipenda dry cleaners wa hii dunia yetu. [emoji38] Natania mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…