Kenyans with Mt Kilimanjaro

Kenyans with Mt Kilimanjaro

Inanikumbusha tulivotoa hii season greetings yetu mwaka uliopita, waswahili nao waka copy and paste eti kuijibu yetu...ubunifu zerooooo, mtaliwa tuu
View attachment 542048View attachment 542050
Mmechora mlima ambao haupo kwenye taifa lenu.Nani ka copy mwenzie hapo? ama ni mlima Kenya huo kwenye picha? By the way you should spend much time in promoting mt.kenya which eligibily yours compare to The Kilimanjaro.Roughly i heard at your primary schools teaching young boys and girls about Mt.Kilimanjaro and Olduvai being in kenya,is this true?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Yale yale ya akiondoka Sanchez Arsenal itakufa

Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app

Umenikumbusha mbali jombaa,hehe! Memory yako itakuwa ni kama ile ya ndovu aisee! Enzi hizo nilitoa tamko nikasema Sanchez akitoka tu Arsenali,ushabik wangu kwa timu hiyo unaishia hapo.Bado nipo nipo tu aisee!Arsenal bana,hehe!

kilwakivinje,hehe nilikuwa namjibu Mr.Wenger aisee!Nilichanganyikiwa kidogo ku'quote',we siunaona kocha wetu wa nguvu ako jf bana!🙂
 
Nimewauliza ni Mkenya mgani ana haja ya kuupanda, au hata nyie waswahili, yaani leo Mzaramo uwaze kusafiri ukakwee mlima Kilimanjaro. Sisi tunakula hela kutoka kwa watalii tunaowaleta wafurahie pale Amboseli huku wakitazama mlima.
Tanzania ina makabila zaidi ya 130,Tanzania ni zaidi ya kabila la wazaramo.Ukabila hauko huku kama huko

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Please Read Morris Kiruga's arrticle that once appeared in Kenya's Nation daily paper

There is something odd about the map of Kenya. From Lake Victoria to the Coast, the borderline moves in a straight line that is only broken by a small kink. That unassuming curve would not be significant if it did not conveniently place Mount Kilimanjaro, Africa’s highest peak, on Tanzanian soil.

The most popular myth about how the all-important curve came into being is that Queen Victoria bequeathed Mount Kilimanjaro to her nephew, the future Kaiser Wilhelm II of Prussia, as a birthday gift. While the story is romantic to a point, and easy to use as proof of the insolent attitude of the European powers in their demarcation of Africa, it is untrue.

The borderline between Tanzania and Kenya tells the story of the arbitrary nature of the demarcation process that was later legitimised by an official mapping conducted in the early 1900s. While the Berlin Conference was indeed a party where different powers shared Africa like a giant pie, the notion that the Queen gave away an entire snow-capped peak on a whim is unsubstantiated.

There seems to have been an agreement between Germany and Britain as to the location of Mount Kilimanjaro, with the only point of contention being where the demarcation line from the mountain to Lake Victoria ended. The British proposed a line from Kilimanjaro to Speke Gulf while the Germans proposed a line from Kilimanjaro to North of Musoma. Another map from the German side shows a straight demarcation line from the North Eastern corner of Lake Victoria to Mombasa. In both maps, Kilimanjaro is part of what is today mainland Tanzania.

Schneppen Heinz’s Why Kilimanjaro is in Tanzania (1996) offers a more plausible reason for the anomaly. “Put more simply, the Germans had gained Kilimanjaro but not Mombasa, the British Mombasa but not Kilimanjaro. Now it becomes evident why Kilimanjaro is in Tanzania: because Mombasa is in Kenya.”

Schneppen’s assertion is based primarily on the terms of the Heligoland-Zanzibar Treaty of 1 July 1890. In the Treaty, Germany and Great Britain agreed on several territorial interests. Germany gave up its claim of Zanzibar Sultanate-which then stretched to what is today the Kenyan coast-in exchange for Heligoland and the coast of Dar es Salaam.

Heligoland is a strategic island that covers the approaches of Germany North Sea naval bases. Wilhelm viewed Heligoland as a primary strategic addition to his plan to outdo the British in naval power.

The young prince supposedly complained to his grandmother that she had two mountains while he had none. The matriarch, aptly referred to as the “grandmother of Europe”, then ordered her subjects to grant the future Kaiser one high snow-capped mountain in East Africa.

This sentimental “lavish royal gift” story was most likely the product of a Victorian satirist. It then flourished as a marketing gimmick fanned by tour operators and other tourism stakeholders.

In the years between the early 1880s and Germany’s defeat in World War I, its East African territory included what are now Burundi, Rwanda, and mainland Tanzania, then known as Tanganyika. The Zanzibar Sultanate was Britain’s proxy.

While the Heligoland treaty does not include any mention of a mountain, the demarcation lines do not seem to have changed around that part of the borderline. It seems more plausible that in giving away its claim on Zanzibar and its entire Sultanate, which then included what is now the Kenyan Coast, the Germans acquired Kilimanjaro.

Germany would not have been very concerned about giving up the Sultanate’s coastline because the deal left them with the Dar es Salaam coast.

The story of the Queen who gave away a mountain to her grandson has withstood the test of time, but it is a fabrication. While it does typify the excesses and arbitrary partitioning with which the boundaries of modern-day East Africa were determined, there is no single shred of evidence to support it. There is a Guinness World Record somewhere in the true story. Six years after the Heligoland Treaty, the pro-British Sultan Hamad died and was succeeded by Sultan Khalid. The British preferred Hamud, another pro-British, and used a clause in the 1886 treaty between Zanzibar and Britain to declare an ultimatum for Khalid to resign.

The battle to oust him begun at 9am on 27 August and ended at or before 9.40am, a mere 40 minutes later, booking its place as the shortest war in history.

The Heligoland-Zanzibar Treaty ended Germany’s interests in the Zanzibar Sultanate, hence Schneppen’s assertion that Mount Kilimanjaro was part of the deal, albeit unrecorded in the terms of the treaty.

Queen Victoria might have had her moments of whims, but Mount Kilimanjaro was definitely not one of them. From a very East African perspective, it was either Mombasa or Mount Kilimanjaro. A coastline for a mountain sounds like a fair deal.
You have nothing to convince me to understand that nonsense

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ina makabila zaidi ya 130,Tanzania ni zaidi ya kabila la wazaramo.Ukabila hauko huku kama huko

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mkuu nenda kawatawale wale wajinga wapale mathare

Post sent using JamiiForums mobile app
 
You have nothing to convince me to understand that nonsense

Post sent using JamiiForums mobile app
The problem with you guys is that you do not know the history of east africa. Infact, if i were to tell you that Mombasa and the kenyan coast used to be under zanzibar sultanate you will surely laugh me off but facts are facts .
Fanya ka utafiti basi halafu uje na hoja yako na siyo kukania tu bila kutoa mbadala-HUO UNAITWA UJINGA
 
TANZANIANS THEY STILL HALF OF THE KENYAN LAND INCLUDING MOUNT KILIMANJARO, TANZANIANS ARE VERY INTELLIGENT PEOPLE NAWAOGOPA SANA
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya... Nakaribisha povu...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
lete evidence inasema kilimanjaro was in kenya.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sisi mlima tunauona kwa macho maana hatuna haja nawo, ni kama nyie waswahili mpo mpo tu na kila siku mnauona au kuusikia lakini ni wachache sana kati yenu ishawajia akilini kwamba mwende mkaukwee kama wafanyavyo watalii.
Sasa pia, watalii wanaokuja kuukwea tunawaelekeza wavuke mpaka japo ni wachache, kuna kundi kubwa la watalii tumewaandalia mambo matamu matamu ya kuja na kutulia kwetu huku wakiutazama maana hawana haja ya kuukwea.

Nyie wazembe mnasubiri hadi waje hao wanaotaka kukwea, hamjitumi kuandaa vipochopocho pembeni kwa wale wanaotaka kuuona tu.
Haya wataendelea kuwaharibu bint zenu huko pwani, endeleeni kushadadia sexial tourism.
 
Taabu sana ukiona mkenya anamcheka mTanzania kisa umaskini mimi nasema tu mtu aende Kenya ndo atajua nini hasa maana ya umaskini sie maskini ila ni kama trailer tu kule kuna full movie
 
Tanzania tuna National Park nyingi mpaka kero 38% ya Tanzania ni National Parks, 4 wonders of the world zipo Tanzania so unaweza dhani tumeupotezea kumbe sababu tuna vingi huwezi kusikia kimoja tu all day long .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kama vipi wauchukue tu na mkoa wa Kilimanjaro maana haiwezekani wachukue mlima watuachie akina mbowe

Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
We usiongee hivyo mkoa wa Kilimanjaro ukichukuliwa na watu wake sehem zingine huko mtakufa njaa
 
Taabu sana ukiona mkenya anamcheka mTanzania kisa umaskini mimi nasema tu mtu aende Kenya ndo atajua nini hasa maana ya umaskini sie maskini ila ni kama trailer tu kule kuna full movie
Wakenya wengi wanjivunia wasichokijua kwakuwa wakisikia uchumi wao ni bora kuliko nchi nyingine za EA wanavimba vichwa hawajui hizi ni siasa tu.

Ufukara ulioko kenya ni mkubwa mno kwakuwa uchumi kwanza unamilikiwa na kundi dogo sana la watu/mabepari

Pato ghafi/GDP la wakenya ni kubwa lakini wanufaikaji ni wachache yaani mabepari na watu wanaojiita roral families za akina kenyatha na kina odinga na wengine wachache

Per capita income yao inaonekana kubwa kwa maandishi lakini haisadifu maisha halisi ya mkenya kwani kundi kubwa zaidi 80% wanaishi bila maji safi,huduma duni za afya,hakuna hata mahali pa kuishi watu wanaishi majalalani hata hapo Nairobi tofauti na Tz bado kila mtu anaweza kumiliki ardhi popote akafurahia keki ya taifa

Uchumi wa Kenya unategemea wizi wa rasilimali kutoaka nchi nyingine kwakuwa ni nchi kame sehemu kubwa that's why kila siku mnakazana na wasomali mnataka rasilimali zao mkidai mnadeal na usalama kwa kukomesha alshaabab. Hawa jamaa hawatawacha salama. Bado mnaona haitoshi mnaleta wizi wa maneno juu Kilimanjaro. Kuna wakati Kenya itatengwa kama ilivyotengwa Khatar

Lingine la kusikitisha ni kwamba viongozi wenu wengi kuanzia ngazi za juu ni vibaraka wa wazungu kitu mabacho ni hatari sana kwa ustawi wa taifa lolote kitu ambacho Tz hatuna na tukimwona wa aina hiyo tunahakikisha hapati nafasi yoyote

Ushauri wangu kwa hawa jirani zetu ni kwamba shughulikieni changamoto mlizonazo kama ukabila,ukoloni mambo leo,usalama ambao umedororeshwa na alshaabab,ufukara uliokithiri kwa wakenya wengi,kurudisha uchumi kwenye mikono ya wananchi sio kama sasa few individuals ndo wanamiliki uchumi huku wengine wengi wanaishia kuwa walipa kodi tu wala hawafurahii kuwa wakenya kitu ambacho huku Tz hatuna hayo majanga


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cry babies ,put a curtain on that mountain then,if we can see it we will advertise it period

Post sent using JamiiForums mobile app
 
American actor Harrison Ford in Ngorongoro yesterday
FB_IMG_1500266653244.jpg
FB_IMG_1500266656544.jpg


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom