Fine then. Continue displaying your folly but don't cross the limit
Wameajiriwa na nani ???? Inamaana takwimu zinasema uongo???ππππ haya niletee official source inayosema 40% ambayo wanasema ni unemployment rate ni wale self employedππππππ ukiniletea mm nafunga jamii forumHahaha ichoboy01 endelea kujiliwaza na vitakwimu vyako vya kuungaunga. Wakenya hawategemei serikali linapokuja swala la ajira. Wengi wamejiajiri. Halafu nyie mnahesabu hata yule ankoo muuzaji makaa pale CBD kama employed tofauti na kenya
Mbali na yote haya kitu ambacho Kenya haijafanikiwa ni kutokomeza matatizo makubwa ya kijamii. Huwa najiuliza mnashida gani? Mnaachieve vitu vikubwa sana as you ( Kenyans always brag) lakini vitu vya msingi vinakuwa shida kwenu...Kenyan human capital/resource is unmatched in africa..you will not find it anywhere in africa..only zimbabwe used to be at per but their but economic down turn has taken toll on their perfomance..kenya human resource is a well oiled machine that is always turbo charging our economic engine...its whats gives kenya so much omph despite lack of natural resources....Nairobi is now the de facto capital of multi-nationals companies in Africa.
Hawa ni wivu tu inawasumbua. Achana naoJames comey, matatizo gani hio hebu nieleze mkuu?
Hakuna mtanzania mwenye wivu na kenya hakuna na hatatokea unajua kwasababu gani, tanzania imeneemeshwa kwa kila kitu ndio maana hayupo mtanzania mwenye time na kenyaHawa ni wivu tu inawasumbua. Achana nao
Mwambie aje Tanzania nitamfafutia hata ajira ya kuswaga hao ngombe kupeleka slaughter house.Wameajiriwa na nani ???? Inamaana takwimu zinasema uongo???ππππ haya niletee official source inayosema 40% ambayo wanasema ni unemployment rate ni wale self employedππππππ ukiniletea mm nafunga jamii forum
jobless la kikenya likitema povu jingi.
wewe ni mmoja ya asilimia 40 ya wakenya wasio na ajira. kuandika kwako kingereza hakukuondoi kwenye kundi hilo. povu ruksa.
btw niko kwa barabara asubuhi hii nikienda job, wewe bado uko kwa bed umelala. ni kawaida kwa majobless kuamka at 9-10am.
jobless la kikenya likitema povu jingi.
wewe ni mmoja ya asilimia 40 ya wakenya wasio na ajira. kuandika kwako kingereza hakukuondoi kwenye kundi hilo. povu ruksa.
btw niko kwa barabara asubuhi hii nikienda job, wewe bado uko kwa bed umelala. ni kawaida kwa majobless kuamka at 9-10am.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Umeshindwa kuleta nilichokuomba ππππππππππ na sasa unemployment rate in tanzania is 12% wakat kenya ni 40% na ukiangalia population tanzania is 55m wakat kenya ni 50m tumia akili uliotoka nayo tumboni[/URL]
ichoboy01Tanzania Youth Unemployment Rate
Youth Unemployment Rate in Tanzania decreased to 13.70 percent in 2014 from 14.90 percent in 2006. This page provides the latest reported value for - Tanzania Youth Unemployment Rate - plus previous releases, historical high and low, short-term forecast and long-term prediction, economic...tradingeconomics.com
Inasaidia kama vile tulivowalaza chali kwenye tourismπππππ
Inasaidia kama vile tulivowalaza chali kwenye tourism[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Inasaidia watu kama hawa self employed ππππππππππ
Inasaidia watu kama hawa self employed [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Utalii mm unanidaidia kupata pesa za kigeni na kuendesha maisha yangu kua mazuri alhamdlahπππππ
Kama hakuna mtanzania ana haja na wakenya then why are you here trolling us? Hayo ni maneno ya kujifariji ila ukweli itabaki pale paleHakuna mtanzania mwenye wivu na kenya hakuna na hatatokea unajua kwasababu gani, tanzania imeneemeshwa kwa kila kitu ndio maana hayupo mtanzania mwenye time na kenya