komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
vp..watu wa kagera mliwapa chakula au bado jiwe kasema ni wavivu wakalime...bwahahaaaa...mko na stalk lkn watu mtaani vyuma vimekaza...Janja janja kwa wakenya haijaanza Leo
Hip sio sifa ya kujifisia ni upuuzi na uzwazwa was hao PHD candidates .
Eti hili nalo ni la kujisifia hahahah
Wakenya bhana watu waajabu ajabu tu
Nchi iko na hunger and famine badala ya kusolve hizi ishu kwa kuanzia miradi ya kilimo cha kumwagilia nchi iwe na chakula cha kutosha .
Mnakuja kujisifia uouuzi hapa wankenya wenzenu wanakufa njaa
Stupid typically Kenyan citizens
African typically mindset
Goddamn it
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kumbe huna akili...tutkana ni jangwani...wao ni wafugaji na wanategemea matunda ya mwituni...km ni chakula mbna kisha wamepelekewa...endeleeni kuwa wanafki tu...sisi mkipatwa na jangwa lazima tuwasaidie..nyinyi bakini na wivu tu...