Sisi ni waanzilishi wa both EAC na ECOWAS, na geography inaturuhusuNdo maana huwa tunawaambia hizi takwimu zenu ni za kwenye makaratasi hazina uhalisia mnakataa! Unataka mtu astruggle hata kujitaftia umeme?
Nenda uwaambie AfDB ,WB ,IMF na wale wanauchumi wa wizara ya fedha kwamba takwimu zao ni gushi.Wewe ni mtaalamu kuliko hawa wasomi wote wa mambo ya uchumi?Ndo maana huwa tunawaambia hizi takwimu zenu ni za kwenye makaratasi hazina uhalisia mnakataa! Unataka mtu astruggle hata kujitaftia umeme?
Na Nigeria pia wako hivo hivo ,mafuta yao mabilioni ,ardhi kubwa ya kilimo ,GDP tunaimbiwa sana kwamba ni zaidi ya $400bn lakini waone walivyo ...hata budget ya Kenya ni kubwa kuliko yao.titanium yenyewe ya uko kwale kiduchu ndio unataka kuijustify na tanzanite,gold,diamond mlizonazo.naskia ata uranium mko nayo,....i just wish we had what you guys have.am sure by now tungekua 1st world...what is the problem with you seriously inafaa mkue level na SA
By the way hizo mabilioni za mafuta Nigeria huwa zinaenda wapi mpaka wako na budget ndogo kushinda yetu? These guys are so corrupt. I guess hiyo pesa yote wameweka kwa mfuko. Hio corruption yao imeshinda yetu na mbali.Very sadNa Nigeria pia wako hivo hivo ,mafuta yao mabilioni ,ardhi kubwa ya kilimo ,GDP tunaimbiwa sana kwamba ni zaidi ya $400bn lakini waone walivyo ...hata budget ya Kenya ni kubwa kuliko yao.
for the first time in my life, ndio nimeona the word UNCOMFORTABILITIES......lazima kutatokea intsabilities and uncomfortabilities nyingi sana.
Russia iliwai kusema afrika aiwezi endelea hadi rasilimali zikimalizika kwa sababu majambazi wa kimataifa wanaujumu nchi zenye utajiri wa nishati na madini msemo mti wenye matunda ndiyo upigwa mawe ila tz tutapambana nao hao wawekezaji wa nishati na madiniyaani mmelalia maskio tz...a very blessed country but very poor...🙁🙁🙁 as for kenya, most of the country is either desert or semi-desert, we dont have minerals..its only recently that we discovered oil... but we still repping EA..🙂🙂 nyie bado mnapambana na Acacia..lol!
Mshukuruni mungu kuwa amna minerals maana mngekuwa nayo mngemwagishwa damu na kuujumiwa na wawekezaji wa sekta za minerals ni mafia sawa na wauza madawa ya kulevya mngekuwa masikini kuliko mlivyo sasawhich minerals? we dont have diamond...tz has...tz has gold, tanzanite coal gas etc...sio kwamba eti hapa kenya hamna mining kabisa ila si kwa level ya tz, sa, nigeria, congo...
Ndiyo maana maana jf ni jukwaa la kujifunza, la muhimu ujumbe ufike, hatupo hapa kujifunza lugha, ila pia unaweza kurekebisha ukipenda, lakini tupo interested zaidi na issues au mada inayozungumziwa, jikite kwenye hoja tafadhalifor the first time in my life, ndio nimeona the word UNCOMFORTABILITIES......
Nyie wakenya ndio mpo kama Nigerian sasa amewapa za uso pamoja na ujuaji wenu arrogance and emptiness mmelamba za uso ndio mnakumbuka watz hahaha igbos nyoosha hao kiberiansMkuu umefika Nairaland ukaona wanigeria walivo na povu na chuki dhidi ya watu wa E.Afrika? Afu ni majamaa zero brain hawajui historia wala chochote kuhusu waafrika wenzao? Yaani niliyoyaona huko, acha tu. Tz ni watani wetu wa kweli, ukijaribu wanigeria utatamani uonane na mtz baada ya hiyo yaani hata kumkumbatia utamkumbatia tu! E.Afrika tusijidharau. Tz, Ke, Ug, Rw, Br ni combination ya ajab iliyo na waafrika wa kweli ndugu yangu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nenda uwaambie AfDB ,WB ,IMF na wale wanauchumi wa wizara ya fedha kwamba takwimu zao ni gushi.Wewe ni mtaalamu kuliko hawa wasomi wote wa mambo ya uchumi?
Kumbe Kenya ni mwalimu wa secondary.? Tanzania mwalimu wa msingi anaeza kufanya hivyo tena ndani ya miaka miwili tu, anaweza kuchukua mkopo mkubwa kwenye mabank anunue hata SUV tatu na ajenge nyumba.Shida ya Kenya kama vile Jay amesema ni high wage bill kwanza ya public and civil servants. Halafu Kuna sheria inayosema huwezi punguza mshahara ya mtu hata shillingi moja. Sasa uniambie tutajinasua aje katika huu mtego. Isitoshe doctors, nurses, lecturers, police, teachers and clinical officers wanataka mshahara uongezwe. Wengine wamestrike na polisi huwa wanaenda go-slow kwa sababu hawawezi kustrike. Naona itafika mahali maji itazidi unga unless wage ishughulikiwe. The positive side ni kuwa madaktari, walimu na other workers wetu wanalipwa pesa nyingi sana kushinda wenu na wako na disposable income ya juu na standard of living ya juu. Si maajabu kumwona mwalimu wa sekondari akiendesha gari KE baada ya kufanya kazi miaka mitatu tu.
Hahaha 1st world from the tail, you better shut up where you are by then even with such little? You just poorer than yesterday's and that's ittitanium yenyewe ya uko kwale kiduchu ndio unataka kuijustify na tanzanite,gold,diamond mlizonazo.naskia ata uranium mko nayo,....i just wish we had what you guys have.am sure by now tungekua 1st world...what is the problem with you seriously inafaa mkue level na SA
Huyo dogo alikuwa anakukejeli. Hakuwa anakupongeza kwa lugha nzuri. He was just being sarcasticNdiyo maana maana jf ni jukwaa la kujifunza, la muhimu ujumbe ufike, hatupo hapa kujifunza lugha, ila pia unaweza kurekebisha ukipenda, lakini tupo interested zaidi na issues au mada inayozungumziwa, jikite kwenye hoja tafadhali
Hahaha wacha nicheke tuKumbe Kenya ni mwalimu wa secondary.? Tanzania mwalimu wa msingi anaeza kufanya hivyo tena ndani ya miaka miwili tu, anaweza kuchukua mkopo mkubwa kwenye mabank anunue hata SUV tatu na ajenge nyumba.
Niruhusu niongee Kiingereza, kiswahili kina wenyewe.Ndugu zetu wakenya jaribuni kuwa mnabiki kwenye mstari msiwe mnahamisha magoli mara kwa mara, huku EAC mnajinasibu kuwa na uchumi mkubwa mkimaanisha GDP, mkikutana na Nigeria wenye uchumi mkubwa mnahamisha goal position sasa mnasema bajeti kubwa, sasa vyote hivyo vina maana gani kama haviwafikii wananchi vinaingia mifukoni mwa watu wachache kutokana na rushwa, au vinaelekezwa miradi isiyo na tija kwa taifa?
Kiingereza sikijui vizuri nitaendelea na Kiswahili chetu mwanana, hivi tajiri anayetumia pesa ndogo kwa mwezi katika matumizi yake ya kila siku, na masikini anayetumia pesa nyingi tena zaidi ya tajiri katika matumizi yake, nani yupo makini na maisha?Niruhusu niongee Kiingereza, kiswahili kina wenyewe.
There is no contradiction in what Kenyans are saying about Nigeria. A country with a humongous GDP like Nigeria is also expected to have a huge budget. It is very ironical that NG has the biggest GDP in Africa but has a relatively tiny budget. Wewe huoni hapo Kuna tatizo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Kiingereza sikijui vizuri nitaendelea na Kiswahili chetu mwanana, hivi tajiri anayetumia pesa ndogo kwa mwezi katika matumizi yake ya kila siku, na masikini anayetumia pesa nyingi tena zaidi ya tajiri katika matumizi yake, nani yupo makini na maisha?
Hapo kweli kuna tatizo, ulipisema ilibidi niangalie budget yao nikashangaa almost inalingana na yetu!Niruhusu niongee Kiingereza, kiswahili kina wenyewe.
There is no contradiction in what Kenyans are saying about Nigeria. A country with a humongous GDP like Nigeria is also expected to have a huge budget. It is very ironical that NG has the biggest GDP in Africa but has a relatively tiny budget. Wewe huoni hapo Kuna tatizo?