Tetesi: Kenya's Armour-ed Vehicles Turned Into Chicken Pens

Tetesi: Kenya's Armour-ed Vehicles Turned Into Chicken Pens

thisadeys...wacha kupayuka ukabila..hko baringo si ni kw wakalenjin...m nakupa kitu real wewe unapayuka ukabila...ukwel hyo jamaa kapiga hela na analeta sababu za kijinga full stop...kuna wanariadha wangapi na wana magari..si wangelianza kulalamila wananchi wakawaida kwanza...

kuna kenya police msela yupo hom off na kaniambia hyo ndio kazi ya hao wakubwa....wao kazi ni kupiga hela za mafuta tu na znginezo
Mimi siongelei Baringo peke yake, comment yangu inalenga Kenya at large. Turkana, Marsabit, lamu e.tc. hayo maeneo uki ambiwa yapo kwenye nchi inayo claim ina uchumi wakati unaeza lia kwa huruma. Kuhusu ufisadi nivizuri umekua mkweli kwa leo ila siku zote huwa tuna waambia kuwa mnachezwa huwa mnatubishia. Almost kila mradi Kenya watu wanapega pesa ndefu na tatizo lina anzia kwa namba moja wenu.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Kwa hilo la petro station ni kweli kabisa. yaani kama una safari ndefu inabidi uwe nad domu la ziada.
Nyerere alipatia sana kuto kuwa mkanda, unaeza ona tuko nyuma ila ukitoka kwa majirani unashukuru tulipo. Sasa hivi na hii REA inavyo sambaa nikisafiri nakuwa proud sana na nchi yangu na kodi nayolipa.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
MK254 huwa anabadilk uraia wake kukiwa na mijadala kama hii

Huyu jamaa anapenda raha tu, hataki challenges. Ni muoga ile mbaya. Ika akiona habari za Mikopo, Mchina na SGR anafurahiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi siongelei Baringo peke yake, comment yangu inalenga Kenya at large. Turkana, Marsabit, lamu e.tc. hayo maeneo uki ambiwa yapo kwenye nchi inayo claim ina uchumi wakati unaeza lia kwa huruma. Kuhusu ufisadi nivizuri umekua mkweli kwa leo ila siku zote huwa tuna waambia kuwa mnachezwa huwa mnatubishia. Almost kila mradi Kenya watu wanapega pesa ndefu na tatizo lina anzia kwa namba moja wenu.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
naona una i underestimate lamu...ila fanya kuitembelea hta siku moja tu...na km ni northern mbna sai ugatuzi unapafungua pole pole tu...hyo marsabit unayoitaja iko na one of the best road hta kushinda barabara nyngi sana za magufuli
 
naona una i underestimate lamu...ila fanya kuitembelea hta siku moja tu...na km ni northern mbna sai ugatuzi unapafungua pole pole tu...hyo marsabit unayoitaja iko na one of the best road hta kushinda barabara nyngi sana za magufuli
Lamu hamna kitu, najua nacho kiongea. Unapo ongelea ubora wa eneo huangalii kitu kimoja, Marsabit ni ovyo tu ata wakijenga nuclear plant.
 
Lamu hamna kitu, najua nacho kiongea. Unapo ongelea ubora wa eneo huangalii kitu kimoja, Marsabit ni ovyo tu ata wakijenga nuclear plant.
ni ovyo kwa sababu kule kwaishi wafugaji tu ...halafu lamu mbna imeshinda towns nyingi sana za hko bongo km sikosei....nlikuwa hko last week bro ....ile tuipe miaka ya kuhesabu tu...jamaa watkubali na kufuata mfumo wa kisasa...hilo pia linatakiwa wafanye hvo hvo sehemu za north...eneo kubwa watu wachache...ikiwezekana serikali iwatengee mahali nzuri na hzo affordable houses wawajengee hilo eneo..kwngine tufanye kilimo km wazee wa north wanavyonawiri(egypt)
 
ni ovyo kwa sababu kule kwaishi wafugaji tu ...halafu lamu mbna imeshinda towns nyingi sana za hko bongo km sikosei....nlikuwa hko last week bro ....ile tuipe miaka ya kuhesabu tu...jamaa watkubali na kufuata mfumo wa kisasa...hilo pia linatakiwa wafanye hvo hvo sehemu za north...eneo kubwa watu wachache...ikiwezekana serikali iwatengee mahali nzuri na hzo affordable houses wawajengee hilo eneo..kwngine tufanye kilimo km wazee wa north wanavyonawiri(egypt)
Ulikua Bongo sehemu gani? Hayo maendeleo unayo ongelea Kenya kutokea labda Uhuru na Ruto wasiwepo madarakani
 
Ulikua Bongo sehemu gani? Hayo maendeleo unayo ongelea Kenya kutokea labda Uhuru na Ruto wasiwepo madarakani
nlikuwa namaanisha lamu...bongo kitambo sijafika...nina km mwaka sai...ila soon hko nitatokezea kw jamaa zangu hko...bibi yangu (nyanya) katokea hko
 
nlikuwa namaanisha lamu...bongo kitambo sijafika...nina km mwaka sai...ila soon hko nitatokezea kw jamaa zangu hko...bibi yangu (nyanya) katokea hko
Ukija bongo uje ukiwa rada, ushamba wa ki mombasa uache huko huko. Usije umevaa ile suti yako [emoji23]
 
hyo pesa ililiwa tu....hyo boss wa police wa hilo eneo amesgapiga hyo pesa...analeta sababbu nyingi tu....budget ya mafuta 450lts per month alafu unasema gari limekosa mafuta kisa mafuta yanapatikana mbali...

corruption will kill us one day
Asante kwa kujua kua nyie ni failed state👏👏
 
Asante kwa kujua kua nyie ni failed state👏👏
nambie msukule wa cccm....mwenzenu FB kasema baada ya Mungu ni magu ...bwahahahahaaaaa..kweli nyie wasukule....anyway rudi kw battle kule...mada km hizi si hadhi yako
 
hyo pesa ililiwa tu....hyo boss wa police wa hilo eneo amesgapiga hyo pesa...analeta sababbu nyingi tu....budget ya mafuta 450lts per month alafu unasema gari limekosa mafuta kisa mafuta yanapatikana mbali...

corruption will kill us one day
Ukisoma vizuri utagundua hii habari ni politically motivated, its more about the disarmament of police reservists than the armoured vehicle .........

1. The artle starts by saying armoured vehicleS, as in plural, alafu kinachoongelewa ni gari moja.....
quote: A vehicle allocated to the ASTPU in Chemoe has been grounded for several months for lack of tires,” Baringo North MP William Cheptumo complained. :end quote

One vehicle out of over 500 vehicles inakua habari really! Alafu badala ya police OCPD wa hichi kituo kuongea ni mwanasiasa ndo analalamika, badala ya kulalamikia kamanda wa polisi wa county, au provisional commander au inspector general au waziri wa usalama, jamaa anaenda direct Kwa wanahabari kulalamika kwamba gari liko garage alafu anaanza kusema NPR wasingepokonywa mabunduki..etc


BTW has anyone noticed Hilo gari ambalo linaambiwa halina spare, Yani hakuna mtu ameiona hio spare tire inaning'inia Kwa mlango wa nyuma wa Hilo gari !!!!!!!!!! Besides these tires are the same ones zinazotumika Kwa land cruiser za polisi ambazo kila stesheni ya polisi iko na land cruiser mbili ambazo kila moja iko na spare moja so those are three spare tires already zenye ziko Kwa hio station! Watueleze vizuri walikua wanacheza mchezo gani na Hili gari!

untitled_design_37_5.jpg


Alafu Kwa wale wanaosema eti sijui Kenya hakuna pesa, if one station needs 450l a month and diesel/petrol is at least 110ksh/ltr and if there are 500 new vehicles unveiled last year that's ksh 25 million worth of fuel every month , hii NI mbali na repair and maintenance, kama ingekua hakuna pesa habari ingeanza na kusema hakuna mafuta manake hio ndo bidhaa inayotumika kila siku, repair hufanyika mara moja moja Tu... So this is not about lack of money, ni uzembe flani unafanyika hapa au kuna mtu anafanya maksudi, mbona hatujawai sikia gari la mbunge limekwama kwasababu halina spare? Wabunge hutumia ma V8 na hupewa fuel allowance na pia maintenace hulipiwa na serekali ..
 
nambie msukule wa cccm....mwenzenu FB kasema baada ya Mungu ni magu ...bwahahahahaaaaa..kweli nyie wasukule....anyway rudi kw battle kule...mada km hizi si hadhi yako
So umekasirika au😆😆😆
 
Ukija bongo uje ukiwa rada, ushamba wa ki mombasa uache huko huko. Usije umevaa ile suti yako [emoji23]
a wapi....mbna nikija hvo vijana wanapagawa na mm...kwanza navaa suti ya nn ndugu...na si mambo yangu...ile nikupoteza rada tu ya vikao vyetu dili....wacha nyinyi...ifikapo meeting yyte ya dili au mwaka wenzangu huaga wana nikashifu sana eti nikakomboe suti hta km ya elfu saba..lkn ya nn braza..mida yake ikifika sawa ila kw sasa...noooo...mm nadunga zile zile tu bro...si bora siku iishe bana.
..siwezi poteza hela kununua suti zenye hta sitokuja zivaa
 
  • Thanks
Reactions: Oii
a wapi....mbna nikija hvo vijana wanapagawa na mm...kwanza navaa suti ya nn ndugu...na si mambo yangu...ile nikupoteza rada tu ya vikao vyetu dili....wacha nyinyi...ifikapo meeting yyte ya dili au mwaka wenzangu huaga wana nikashifu sana eti nikakomboe suti hta km ya elfu saba..lkn ya nn braza..mida yake ikifika sawa ila kw sasa...noooo...mm nadunga zile zile tu bro...si bora siku iishe bana.
..siwezi poteza hela kununua suti zenye hta sitokuja zivaa
Ile picha umevaa suti kwa keja yako tunayo, ukiendelea kubisha tutaiweka [emoji23]. JF imekufanya uwe mjanja

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ile picha umevaa suti kwa keja yako tunayo, ukiendelea kubisha tutaiweka [emoji23]. JF imekufanya uwe mjanja
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
bwahahaaa...iweke bro...mi kwn najali...hahahaa...naivaa kisa nlikuwa naenda hko kw hzo AGM za kijinga...so siezi jali...ju mi mwenywe najielewa...

kwanza ntaiweka km kumbu kumbu...cz kw simu sina...simu yenye zilikuwa ndani hata nimeiuza...itumue mkuu...
 
Back
Top Bottom