Shida sio kwamba budget yetu ni kubwa, shida ni kwamba budget ya Nigeria ni ndogo. Kuna tofauti hapo mkuu. South Africa ni developed na ndio maana wana budget ya kufa mtu. Hapo nakubaliana nawe.S.A. Ni developed country hata per capita yao inasema, wale wako G20, Wako BRICS sio size ya NIGERIA Au matopeni-Kenya
Ahahahaaaa [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787]. Aisee huyo Kenyatta ana mifuko mipana mhh.Budget ya kenya ni kubwa kuliko ya Nigeria(Biggest GDP in africa), wala hilo si lakushangaza maana nusu yake huishia kwa mifuko ya kenyatta
NIGERIA hawako serious wale,wakiamua kukusanya kodi Na kuacha wizi wangekua taifa ya heshima sanaShida sio kwamba budget yetu ni kubwa, shida ni kwamba budget ya Nigeria ni ndogo. Kuna tofauti hapo mkuu. South Africa ni developed na ndio maana wana budget ya kufa mtu. Hapo nakubaliana nawe.
TZ tuko 55M lakini wanigeria wanakaribia 190M angalia budget yetuShida sio kwamba budget yetu ni kubwa, shida ni kwamba budget ya Nigeria ni ndogo. Kuna tofauti hapo mkuu. South Africa ni developed na ndio maana wana budget ya kufa mtu. Hapo nakubaliana nawe.
Ni kweli mkuu, budget yenu iko karibu kufikia ya Nigeria ilhali wako na idadi ya watu zaidi ya mara tatu ya Tanzania. Wao ndio wana shida, sio sisi.TZ tuko 55M lakini wanigeria wanakaribia 190M angalia budget yetu
GDP Sasa haimake sense kwa maana hyo parameter nzuri ya kutumia Ni per capita nadhanNi kweli mkuu, budget yenu iko karibu kufikia ya Nigeria ilhali wako na idadi ya watu zaidi ya mara tatu ya Tanzania. Wao ndio wana shida, sio sisi.
Bajet kubwa inayoishia kuwa corruptedThat's what we call $100 billion.
Budget deficit at just 5 percent of GDPView attachment 1126153
Per capital ni nzur..ila pia na yenyewe ina shida..mfano ina mask umaskin wa African oil producing countries...GDP Sasa haimake sense kwa maana hyo parameter nzuri ya kutumia Ni per capita nadhan
Tatizo lenu wakenya mnaongea maneno mengi sana bila hata evidences.Kwa uchumi wetu wa $100 billion tunaweza kirahisi sana kuwa na budget kama hiyo. South Africa wana budget zaidi ya mara tatu ya Nigeria ilhali South Africa wana uchumi mdogo kushinda Nigeria. Nigeria wana upuzi tu. Serikali haitaki kukusanya ushuru kwa sababu wanajua wanapata pesa nyingi kwa kuuza mafuta, kwa hivyo wako lazy hawataki kuweka systems in place ya kukusanya ushuru.
Ni kweli, Per capita ndio inayotoa picha halisi ya hali ya uchumi katika nchi fulani.GDP Sasa haimake sense kwa maana hyo parameter nzuri ya kutumia Ni per capita nadhan
jameni watanzania acheni wivu bana, mna bajeti ndogo na bado ina deni ndani yake , ni heri sisi kenya bajeti yetu kubwa hata kama lina deni kiasi, can you imagine kenya inaweza kustiri nchi zote tatu kwa mwaka mzima, aibu ni ikiwamo bila aibu bonge la nchi kama tanzania aibu iliojeAaaah sio kuchonga.
Bora tz tunaishi kwa uhalisia hawa majamaa wenzetu wakisii wanaishi kwa kasumba na uchumi wa makaratasi.
Asa ww ujiulizi budget kubwa yote hata njaa haipungui turkana daily na madaktar wamegoma.!!!
Asa hzo hela za budget zaenda wapi?!
Ni sawa sawa mama ako ulimwomba budget ya kununua mboga nyumban ya nyama na viungo mbali mbali kurudi akakuta umempikia dagaaa!
This is awful
Kweli kabisa HDI ndio the very best economic indicator.Per capital ni nzur..ila pia na yenyewe ina shida..mfano ina mask umaskin wa African oil producing countries...
Human development index ni kigezo kizur
Ambayo yenyewe inaangalia
1.Per Capital
2.Education level
3.Health
Ninaweza nkwa si support projects nyingine zinazoendelea Tanzania..ila swala la Kujenga New 67 district hospitals na Ku rehalibitate over 300 health centres itaboost sana health services
Hata hii na yenyewe siyo nzuriPer capital ni nzur..ila pia na yenyewe ina shida..mfano ina mask umaskin wa African oil producing countries...
Human development index ni kigezo kizur
Ambayo yenyewe inaangalia
1.Per Capital
2.Education level
3.Health
Ninaweza nkwa si support projects nyingine zinazoendelea Tanzania..ila swala la Kujenga New 67 district hospitals na Ku rehalibitate over 300 health centres itaboost sana health services
Wewe mzee unajua kusoma? Budget ya SA ni 1.83 trillion rand, ukienda kwa google utype conversion into dollars, google inanipa 121 billion dollars. Sasa nilikuwa sahihi niliposema budget ya SA ni zaidi ya mara tatu ya Nigeria. Kama ulienda shule utajua kwamba $121 billion ni zaidi ya mara tatu ya $29 billion. Next time usinipinge kama huna facts kwa mkono.Tatizo lenu wakenya mnaongea maneno mengi sana bila hata evidences.
Hii hapa Budget ya RSA
Imagine that budget with kibaki governmentBudget ya kenya ni kubwa kuliko ya Nigeria(Biggest GDP in africa), wala hilo si lakushangaza maana nusu yake huishia kwa mifuko ya kenyatta
Federal za Nigeria hukua na budgets zao na allocation hazifanywi na nationa govt yaoHata Nigeria wenye GDP ya $459B pia mumewazidi kwa budget kubwa, sasa nini kama sio vichaa tuwaiteje?.
aisee hatukubali hii kitu bana.That's what we call $100 billion.
Budget deficit at just 5 percent of GDPView attachment 1126153
Hahaa.Tupate breakdown ya hiyo ya Tz that is including grants and loans. Najua itachekesha Sana. Geza Ulole uwanja ni wako.