Ile siku utaleta link kuonyesha hao madaktari kenya hawajalipwa na log off jfAaaah sio kuchonga.
Bora tz tunaishi kwa uhalisia hawa majamaa wenzetu wakisii wanaishi kwa kasumba na uchumi wa makaratasi.
Asa ww ujiulizi budget kubwa yote hata njaa haipungui turkana daily na madaktar wamegoma.!!!
Asa hzo hela za budget zaenda wapi?!
Ni sawa sawa mama ako ulimwomba budget ya kununua mboga nyumban ya nyama na viungo mbali mbali kurudi akakuta umempikia dagaaa!
This is awful
Halafu unakuta Kenya inaongoza vijana wake kwa kukosa ajira East Africa yote.
UNAJUA BAJETI NI KAMA UMRI TU? NI NAMBA TU YANI LAKINI UHALISIA WAKE KIDUCHU... [emoji3]
Hawa jamaa ni vichaa, kupenda SIFA za kijinga wakati uwezo hawana. Badala ya kuongeza kipato, wao wanaongeza matumizi wakitegemea kutembeza bakuli, ndio sababu hata omba omba wa Tanzania hukimbilia Kenya kwa ombaomba wenzao, huko wanaelewana sana.
Budget yetu ni zaidi ya mara dufu yenu. Tanzania mnafeli wapi?
Na hatujakataa kulipa. Nyinyi pia mkubali kuwa mnakopa na pia kupewa na Wazungu kumudu bajeti yenu.Nadhani hiyo budget imejumuisha na madeni mtakayoilipa china annually
Exceptionally good.Hata Nigeria wenye GDP ya $459B pia mumewazidi kwa budget kubwa, sasa nini kama sio vichaa tuwaiteje?.
Na Kenya ni middle income sio LDC Danganyika.S.A. Ni developed country hata per capita yao inasema, wale wako G20, Wako BRICS sio size ya NIGERIA Au matopeni-Kenya
Bora kufa kwa njaa kuliko kwa unafiki wa ccmAjabu ni Kuwa 2019 Wakenya wanakufa kwa Njaa, hiyo bajeti kubwa humnufaisha nani?
Budget ya central govt si kubwa coz kila state huwa na budget yake binafsiNchi ya watu milioni 190 ina budget ndogo ya $29 billion. Enyewe Nigeria is a shit-hole country worse than Somalia or South Sudan.
But by 2050 mnaweza fikia gdp ya Kenya, kulingana na economic projection Kenya will have a population of 95 million, tanzania 137 million. But per capita unless some civil war happens sioni mkipita kenya in our lifetimeTZ tuko 55M lakini wanigeria wanakaribia 190M angalia budget yetu
Mi sioni kama kuna haja ya kusema kuwapita Kenya kwan Kenya yenyewe bado hakuna lolote,Tuwapite tukienda wap?But by 2050 mnaweza fikia gdp ya Kenya, kulingana na economic projection Kenya will have a population of 95 million, tanzania 137 million. But per capita unless some civil war happens sioni mkipita kenya in our lifetime
For years you’ve been bragging of Big budget ila miradi yote kwa Mchina,game over tujadilie budget Kwanza kabla tubishane just ya njaa Kenya na njaa Tz watu wakila kinyesi na utapia mlo. Wacha wivu bana $30b vs $14b huoni tuko double your economy upende usipende?
SGR 600km , Tz SGR 0kmFor years you’ve been bragging of Big budget ila miradi yote kwa Mchina,
Njaa Kila kona ya Nchi na Maradhi ya Funza,
Wakenya wengi bado wanaishi kwenye mabanda ya kuku (wakazi milioni Mbili unusu) wanaishi kibera,
So brother, Where do the Money Go?
Kuna mradi gani Kenya Imefanya?
But by 2050 mnaweza fikia gdp ya Kenya, kulingana na economic projection Kenya will have a population of 95 million, tanzania 137 million. But per capita unless some civil war happens sioni mkipita kenya in our lifetime
SGR 600km , Tz SGR 0km
KQ 40 planes, Tz ATCL 7 planes
Thika Road(12lanes) 50km, Kibaha(6lanes) 20% complete.
Lamu Port ongoing, Bagamoyo abandoned white elephant.
Nairobi vs Dar es salaam - Nairobi won hands down.
Mombasa vs Dar es salaam - Draw
Tanzanian beggars - Found in every part of Kenya.
Turkana Njaa iko, Tz Njaa ya kukula kinyesi
Nini ingine unataka?