simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Tanganyika sifa kubwa "kuchonga" hii ndio legacy/urithi wetu kwa ccm.Aaw Boy,and so to say Rwanda, Uganda and Burundi surpasses Danganyika. Hii Danganyika ngozi kubwa inatuaibisha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika sifa kubwa "kuchonga" hii ndio legacy/urithi wetu kwa ccm.Aaw Boy,and so to say Rwanda, Uganda and Burundi surpasses Danganyika. Hii Danganyika ngozi kubwa inatuaibisha tu
Hata Nigeria wenye GDP ya $459B pia mumewazidi kwa budget kubwa, sasa nini kama sio vichaa tuwaiteje?.game over tujadilie budget Kwanza kabla tubishane just ya njaa Kenya na njaa Tz watu wakila kinyesi na utapia mlo. Wacha wivu bana $30b vs $14b huoni tuko double your economy upende usipende?
Aaaah sio kuchonga.Tanganyika sifa kubwa "kuchonga" hii ndio legacy/urithi wetu kwa ccm.
Hawa jamaa ni vichaa, kupenda SIFA za kijinga wakati uwezo hawana. Badala ya kuongeza kipato, wao wanaongeza matumizi wakitegemea kutembeza bakuli, ndio sababu hata omba omba wa Tanzania hukimbilia Kenya kwa ombaomba wenzao, huko wanaelewana sana.Aaaah sio kuchonga.
Bora tz tunaishi kwa uhalisia hawa majamaa wenzetu wakisii wanaishi kwa kasumba na uchumi wa makaratasi.
Asa ww ujiulizi budget kubwa yote hata njaa haipungui turkana daily na madaktar wamegoma.!!!
Asa hzo hela za budget zaenda wapi?!
Ni sawa sawa mama ako ulimwomba budget ya kununua mboga nyumban ya nyama na viungo mbali mbali kurudi akakuta umempikia dagaaa!
This is awful
NigeriaThat's what we call $100 billion.
Budget deficit at just 5 percent of GDPView attachment 1126153
Nigeria ni nchi fake,,,leta serious countries in Africa like SA,EGYPT,MOROCCO,ALGERIA.
Apa pana ukweli ndugu?Budget ya kenya ni kubwa kuliko ya Nigeria(Biggest GDP in africa), wala hilo si lakushangaza maana nusu yake huishia kwa mifuko ya kenyatta
Umejaribu kutazama hii?Nigeria ni nchi fake,,,leta serious countries in Africa like SA,EGYPT,MOROCCO,ALGERIA.
In fact budget ya London ni kubwa kushinda Africa.
Hiii inaonyesha vile tuko poor bado
Apa pana ukweli ndugu?
Bora kidogo cha tz kinatunufaisha atleast kuliko hyo budget kubwa ya kenya halafu still wafa njaa wengiHahaah hiii ni aibu,
Yaani KRA inaconnect more than budget ya TZ ikiwa na magrants na donors hadi loans included!!!
Nimeshangaa
Kenya ni baba yao, wengine wote ni watoto.That's what we call $100 billion.
Budget deficit at just 5 percent of GDPView attachment 1126153
Budget yetu ni zaidi ya mara dufu yenu. Tanzania mnafeli wapi?![]()
Broke Kenya seeks Sh75bn from World Bank
The debt position has reached a dangerous level that it poses a real and massive systemic risk.www.nation.co.ke
Nchi ya watu milioni 190 ina budget ndogo ya $29 billion. Enyewe Nigeria is a shit-hole country worse than Somalia or South Sudan.
Ficha upuy,mbavu wako.Nchi ya watu milioni 190 ina budget ndogo ya $29 billion. Enyewe Nigeria is a shit-hole country worse than Somalia or South Sudan.
Nchi kama Nigeria inatuangusha sana kama waafrika. GDP zaidi ya $400 billion lakini mna kabudget kadogo kama nzi.Ficha upuy,mbavu wako.
Nyie kwa uchumi upi mue na budget kubwa kiasi hicho?Nchi kama Nigeria inatuangusha sana kama waafrika. GDP zaidi ya $400 billion lakini mna kabudget kadogo kama nzi.
Kwa uchumi wetu wa $100 billion tunaweza kirahisi sana kuwa na budget kama hiyo. South Africa wana budget zaidi ya mara tatu ya Nigeria ilhali South Africa wana uchumi mdogo kushinda Nigeria. Nigeria wana upuzi tu. Serikali haitaki kukusanya ushuru kwa sababu wanajua wanapata pesa nyingi kwa kuuza mafuta, kwa hivyo wako lazy hawataki kuweka systems in place ya kukusanya ushuru.Nyie kwa uchumi upi mue na budget kubwa kiasi hicho?
S.A. Ni developed country hata per capita yao inasema, wale wako G20, Wako BRICS sio size ya NIGERIA Au matopeni-KenyaKwa uchumi wetu wa $100 billion tunaweza kirahisi sana kuwa na budget kama hiyo. South Africa wana budget zaidi ya mara tatu ya Nigeria ilhali South Africa wana uchumi mdogo kushinda Nigeria. Nigeria wana upuzi tu. Serikali haitaki kukusanya ushuru kwa sababu wanajua wanapata pesa nyingi kwa kuuza mafuta, kwa hivyo wako lazy hawataki kuweka systems in place ya kukusanya ushuru.