Kenya's economy grows by 25% after recalculation

Kenya's economy grows by 25% after recalculation

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
289
kenya sasa ni nchi ya nne tajiri afrika.

Kenya's economy is believed to be 25% larger than previously estimated following a change in the way its size is calculated.

The recalculation means it will now be considered by economists and the World Bank as a middle-income country, rather than a low-income one.
As a result growth for 2013 was calculated to have been 5.7%, up from an earlier estimate of 4.7%.
It is now the fourth biggest economy in sub-Saharan African.
Nigeria, South Africa and Angola are the three biggest economies in the region.
Economic output was calculated to be 4.76 trillion shillings ($53.1bn; £32.8bn) in 2013 after rebasing, up from 3.8 trillion shillings, the minister for devolution and planning, Anne Waiguru, said on Tuesday.
Some of the most profitable sectors in Kenya - communications and property - were not considered in earlier calculations of GDP which used 2001 as a base year.
Authorities in the East African country have now changed the base calculation year to 2009 and revised the annual and quarterly national accounts statistics for the period 2006 to 2013.


_77913333_77913332.jpg

Kenya's economy is believed to be 25% larger than previously estimated following a change in the way its size is calculated.

The recalculation means it will now be considered by economists and the World Bank as a middle-income country, rather than a low-income one.

As a result growth for 2013 was calculated to have been 5.7%, up from an earlier estimate of 4.7%.

It is now the fourth biggest economy in sub-Saharan African.

Nigeria, South Africa and Angola are the three biggest economies in the region.

Economic output was calculated to be 4.76 trillion shillings ($53.1bn; £32.8bn) in 2013 after rebasing, up from 3.8 trillion shillings, the minister for devolution and planning, Anne Waiguru, said on Tuesday.

Some of the most profitable sectors in Kenya - communications and property - were not considered in earlier calculations of GDP which used 2001 as a base year.

Authorities in the East African country have now changed the base calculation year to 2009 and revised the annual and quarterly national accounts statistics for the period 2006 to 2013.
Poverty levels

Standard Chartered Bank Africa economist Razia Khan said the recalculation confirmed "what we had previously suspected".

"The economy has demonstrated good momentum and has been growing faster than the official data indicated all along. It fits with much of the anecdotal evidence available to us - still-robust business confidence and healthy private sector credit growth."

Ms Khan said the rebasing lifted the average per capita income in Kenya to $1,246 "effectively meaning that the country moves to lower middle income status".

According to the World Bank middle economies are those with a GDP per capita of more than $1,045 but less than $12,746.

While the recalculation is expected to lower debt levels and increase foreign investor confidence, analysts said the figure will change little for much of the population.

Poverty levels in the country remain at 45.9%, and life expectancy is at 61 years, as estimated by a 2013 World Bank report.

Several African countries have recently been reworking their economy figures, a trend which the Africa Development bank has said will show the continent's economies collectively being one third bigger than previously thought.

Earlier this year Nigeria vaulted ahead of South Africa to clinch the number one position after it conducted a similar rebasing of its economy, placing the country's GDP at $522.6bn.


Source:BBC


BBC News - Kenya's economy grows by 25% after recalculation
 
utajiri huu uwa ni wa watu weupe zaidi na mabepari kuliko wananchi wenyewe,kwahiyo kwangu ni meaningless unless maeneo yote s.africa ikiwemo soweto yawe kama free town,johnsbag n.k ..hivi kwa mfano inakuimpress kivipi Kenya kuwa ya nne wakati maeneo nje kidogo ya Nairobi watu ni maskini wa kutupwa,maeneo ya rift valley na kaskazini mwa nchi yako taabani kwa njaa na ukame
 
utajiri huu uwa ni wa watu weupe zaidi na mabepari kuliko wananchi wenyewe,kwahiyo kwangu ni meaningless unless maeneo yote s.africa ikiwemo soweto yawe kama free town,johnsbag n.k ..hivi kwa mfano inakuimpress kivipi Kenya kuwa ya nne wakati maeneo nje kidogo ya Nairobi watu ni maskini wa kutupwa,maeneo ya rift valley na kaskazini mwa nchi yako taabani kwa njaa na ukame

taifa linapokuwa tajiri,serikali inaweza kutoa huduma za kijamii vizuri maana kodi hupatikana kubwa hivyo na mwananchi masikini kufaidika
 
That is very possible kwa Kenya kwasababu hata ukiangalia tu speech anazotoa Uhuru Kenyatta unamwona kabisa ni mtu ambae yupo committed kwa nchi na wananchi wake, wakati wote he looks serious katika jambo analoongea lakini hapa TZ, JK hajui kwanini watz ni maskini pamoja na kuwa na rasilimali zote, ni mizaha-mizaha tu na ndio maana nchi haisogei mbele.
Kwakweli mwaka 2015 lazima watanzania tuwe makini sana kwenye sanduku la kura.
 
Kikwete ana mapungufu yake lakini kamwe siwezi kumlinganisha na Kenyatta anayetakwa na ICC!
 
Kikwete ana mapungufu yake lakini kamwe siwezi kumlinganisha na Kenyatta anayetakwa na ICC!

anatakiwa ICC kwa mauaji ya mwangosi,mabomu arusha na mauaji zanzibar. inatakiwa akaeleze mahakama inakuwaje mambo hayo yatokee ili hali kuna vyombo vya usalama?
 
Mwache rais wako sumbuka na huyo mumeo kenyatha ila rais wetu tuachie wenyewe kafanya makubwa sana kwa taifa letu.
 
kikwete anatakiwa ICC kwa mauaji ya mwangozi,mabomu arusha na mauaji zanzibar. inatakiwa akaeleze mahakama inakuwaje mambo hayo yatokee ili hali kuna vyombo vya usalama?
We mjinga mwangozi ndiyo nani hapa tanzania au ni mjomba wako we chizi kweli.
 
That is very possible kwa Kenya kwasababu hata ukiangalia tu speech anazotoa Uhuru Kenyatta unamwona kabisa ni mtu ambae yupo committed kwa nchi na wananchi wake, wakati wote he looks serious katika jambo analoongea lakini hapa TZ, JK hajui kwanini watz ni maskini pamoja na kuwa na rasilimali zote, ni mizaha-mizaha tu na ndio maana nchi haisogei mbele.
Kwakweli mwaka 2015 lazima watanzania tuwe makini sana kwenye sanduku la kura.
Mkuu nakushauri kenyatha akuoe ili uwe naye karibu ufaidi pendo lake unaonekana kumpenda sana lakini sisi jk ni kiongozi wa mfano kwetu kama watanzania.
 
anatakiwa ICC kwa mauaji ya mwangosi,mabomu arusha na mauaji zanzibar. inatakiwa akaeleze mahakama inakuwaje mambo hayo yatokee ili hali kuna vyombo vya usalama?
Afadhali kikwete huyu mwingine inasemekana alishiriki moja kwa moja kwa kununua mapanga na mashoka na kuwalipa vijana wasiokuwa na kazi!
 
That is very possible kwa Kenya kwasababu hata ukiangalia tu speech anazotoa Uhuru Kenyatta unamwona kabisa ni mtu ambae yupo committed kwa nchi na wananchi wake, wakati wote he looks serious katika jambo analoongea lakini hapa TZ, JK hajui kwanini watz ni maskini pamoja na kuwa na rasilimali zote, ni mizaha-mizaha tu na ndio maana nchi haisogei mbele.
Kwakweli mwaka 2015 lazima watanzania tuwe makini sana kwenye sanduku la kura.

Na naona listi ya wanaojitokeza wote wamelandana na JK kama watoto mapacha! Mtu kama Membe ni photocopy ya JK kabisa... Makamba mh...
 
Mkuu nakushauri kenyatha akuoe ili uwe naye karibu ufaidi pendo lake unaonekana kumpenda sana lakini sisi jk ni kiongozi wa mfano kwetu kama watanzania.
Unaaibisha wanawake..maana unachangia pumba mno
 
wakati mwingine hizi sifa ni za kijinga kabisa ,Watu wanakufa kwa kunywa chang'aa na aende kule Rift valley wananchi wakula mizizi na hiyo ripti ni nzuri kwa ma- setla wa kenya ,lakini sio raia wa kawaida katika kenya wanamaisha magumu,hiyo ni pesa ya wazungu waliowekeza tangu ukoloni na haya mshirika ya pesa yanatupa sifa kutokana na faida katika nchi husika na ma-setla wao
 
wakati mwingine hizi sifa ni za kijinga kabisa ,Watu wanakufa kwa kunywa chang'aa na aende kule Rift valley wananchi wakula mizizi na hiyo ripti ni nzuri kwa ma- setla wa kenya ,lakini sio raia wa kawaida katika kenya wanamaisha magumu,hiyo ni pesa ya wazungu waliowekeza tangu ukoloni na haya mshirika ya pesa yanatupa sifa kutokana na faida katika nchi husika na ma-setla wao

Locals dont own and run Tanzania my friend. Do a little more research
 
Bado wa wananchi ni watumwa katika nchi yao ,hakuna haja ya research katika njaa na chang'aa ,watu wanalia kwa umaskini huko rifty valley na njaa juu,wacha sifa
 
tanzania hakuna umaskini? :lol: every single report that has ever been done on the middle class in africa or east africa shows kenya has by far the largest middle class in east africa. deny independent statistics does not change anything.
 
taifa linapokuwa tajiri,serikali inaweza kutoa huduma za kijamii vizuri maana kodi hupatikana kubwa hivyo na mwananchi masikini kufaidika
Ushabiki mwingine ni wa kijinga
mm nauita ushakunaku
huwezi mlinaganisha Kikwete na Uhuru mvuta WIDI hata siku moja
muulizeni Kenyata kwanini hakanyagi Mombasa au mikoa ya Pwani?
kwanini watu wanamalizana kila uchao si askari si Wanajeshi
salama tena haipo Pwani ya Kenya na hadi wanataka kujitoa?
DN+COAST+ARREST+2503D.JPG.jpg

Hai km hii umeshaiona hapa Tanzania? Viongozi wa Dini ya Kiislamu wanauawa kila siku Kenyata keshawahi toa tamko lolote? Sheikh Salim Bakari Mwarangi shot and killed in Likoni - Mombasa - nation.co.ke
[h=3]Sheikh Mwarangi shot, killed[/h]
A religious leader was on Tuesday evening shot by attackers outside a mosque in Likoni
Sheikh Salim Bakari Mwarangi was shot while leaving Bilal Mosque after prayers.
According to Kasim Mranja, a relative, he was shot three times; twice in the abdomen and once in the arm by two attackers who were on a motorbike. They sped off after the shooting.
 
Back
Top Bottom