Kenya's Elite Squad, RECCE squad victory at dusit..

Kenya's Elite Squad, RECCE squad victory at dusit..

Naskia kuna magaidi walichomoka ni kweli?
Pili kuna haja kuimarisha intelligence yenu kwasababu kuna kula dalili hawa watu wapo wengi Kenya.
 
I'm happy for these boys.
tapatalk_1547715173539.jpeg
IMG_20190115_232711.jpeg
FB_IMG_15477589336951951.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naskia kuna magaidi walichomoka ni kweli?
Pili kuna haja kuimarisha intelligence yenu kwasababu kuna kula dalili hawa watu wapo wengi Kenya.
Aliyedhaniwa kuwa gaidi ni huyu soldier because mavazi yao yalikuwa same na pia venye alivaa kofia ni sawa na venye yule gaidi alivaa kofia yake.
FB_IMG_15477568284358646.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya bana, intelligence sifuri kabisa ndio maana hawa Alshabab wanawanyanyasa kila siku.


Tungejaribu kuvaa viatu vyao kwanza kabla ya ku judge.
Unless if you think TISS can do better than them.
 
Back
Top Bottom