Kenya's Eric Omondi Bags Best African Comedian Award

Kenya's Eric Omondi Bags Best African Comedian Award

Hahaha![emoji1] Ndio hawa hapa hao macomedian wa Tz. [emoji]23[emoji23][emoji23]
1302618477_orijino-komedi-group.jpg
full vituko aisee. wote wanadhani comedy nikujifanya punguani. ona huyu aliyevaa shati ya blue hapo kushoto!
 
Huyu anakwama kwenye lugha tu, ila Omondi hampati hata kidogo
Si asomee /ajifunze lugha?
Walimu wapo/shule/vyuo vipo kwanini hawataki kujiendeleza?
Anyway,yawezekana wigo walionao umewatosha.
 
Tanzania tupo nyuma sana kwenye industry ya Comedy. Japo mimi ni mtanzania lakini katika hili siwezi kuwa mnafiki. Nmekuwa mfuatiliaji sana wa Comedy za Kenya toka kitambo. Hawa jamaa wako vizuri kianzia hata kiandika scripts zao siyo sawa na sisi.

Sisi waTz tumekuwa tukijidanganya kwamba lugha tunayotumia ndio tatizo linalotufanya tinashindwa kufika mbali lakini huo sio ukweli, hiyo ni just excuse.

Shida Bongo tunalazimisha vipaji.
 
Tanzania tupo nyuma sana kwenye industry ya Comedy. Japo mimi ni mtanzania lakini katika hili siwezi kuwa mnafiki. Nmekuwa mfuatiliaji sana wa Comedy za Kenya toka kitambo. Hawa jamaa wako vizuri kianzia hata kiandika scripts zao siyo sawa na sisi.

Sisi waTz tumekuwa tukijidanganya kwamba lugha tunayotumia ndio tatizo linalotufanya tinashindwa kufika mbali lakini huo sio ukweli, hiyo ni just excuse.

Shida Bongo tunalazimisha vipaji.
Jombaaa unaijua hiyo namba hapoo?
Tz kuna komedi mzee acha kabisaaa. Achana na akina Pilipili sjui kina Idriss hao hamna kituuu.
Kama unabisha Ijumaa hii nenda pale Kisenga hall Millenium tower halafu ulete mrejesho
Screenshot_2018-10-23-08-16-28.jpg
 
Tanzania tupo nyuma sana kwenye industry ya Comedy. Japo mimi ni mtanzania lakini katika hili siwezi kuwa mnafiki. Nmekuwa mfuatiliaji sana wa Comedy za Kenya toka kitambo. Hawa jamaa wako vizuri kianzia hata kiandika scripts zao siyo sawa na sisi.

Sisi waTz tumekuwa tukijidanganya kwamba lugha tunayotumia ndio tatizo linalotufanya tinashindwa kufika mbali lakini huo sio ukweli, hiyo ni just excuse.

Shida Bongo tunalazimisha vipaji.

Akina Masanja walikua wanaigiza vizuri sana kwa kutumia sare za polisi, haikua haki kuwakataza, ikiwa hata Marekani utakuta kuna movies huigizwa na wasanii waliovalia mavazi hata ya wakuu wa polisi.
 
/Courtesy
Comedian Eric Omondi bagged the Best African Comedian award at the 4th annual African Entertainment Awards, USA.

The event was held in New Jersey USA where Eric, who was among the hosts manged to beat the likes of Nigeria’s Basketmouth and Salvado from Uganda.


Eric has established himself both in Africa and abroad keeps expanding his reach through frequent travels and exploring different uncharted areas in comedy.

Other winners during the AEAUSA 2018 include Diamond Platnumz as Best Male Artist of the year and his brother Romy Jones as Best DJ of the year.

Read: Diamond’s Ex Lynn Calls Him A ‘One-minute Man’ In Bed

Nigeria’s Yemi Alade won the best Female Artist of the year, for the second time, after winning the same award at the AFRIMMA awards 2018.


https://www.kahawatungu.com/2018/10/22/eric-omondi-bags-best-comedian/
Erikoh!Huku tzedi tunamwita eliki
 
Labda hawa wanawake wa bongo wanapeleka uzembe hadi kitandani jambo ambalo laweza fanya mwanaume kuchoka haraka na kuachana naye .uvivu ni mojawapo ya sifa za wabongo.Diamond naye na madem duh! Sijui wanampendea nini .pengine hela. He is not goodlooking at all
Wewe Binti Mdogo umenitusi kwenye Uzi mwingine na huku na wewe unaongea yaleyale,
you owe my apology.
 
Kenyan comedians have never acted as if they are retarded yaani, character ya huyu muigizaji ni kujifanya punguani ili watu wacheke.
And back to the fans he wins, if a million laughs then who cares about two or three criticizing Kenyans,
I never knew if even comics has formality, wakenya mna mambo kweli..
 
And back to the fans he wins, if a million laughs then who cares about two or three criticizing Kenyans,
I never knew if even comics has formality, wakenya mna mambo kweli..
retardation is not a joke! if tanzanians find being retarded funny, then it says so much about your society.
 
Back
Top Bottom