pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Tangu lini tz wakatupea chochote free? Misaada tunayopewa Kenya hata haifiki nusu ya misaada mnayopewa tz. Kama nakumbuka vizuri bajeti yenu 45% ni misaada. Vyuma vimekaza kwenu tangu 1962!Kenya thankful for China's food donation - China - Chinadaily.com.cn
Siku hizi hamuhitaji mahindi yetu tena, you hav a new husband who gives you free maize