Kenya's highest building opens for business

Bwahahahaha, wamefunga mnara wa safaricom juu ya jengo, just to make it higher.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nauhakika walisikia tanzania wana majengo yanajengwa yatazidi ilo. mmmh wakaona hapana tuweke fimbo ili letu liwe refu.[emoji2] [emoji2]
af mi nilikuwa naisikiaga nairobi ila bahati nzuri nilienda july nikakaa had this october na cbd yao nimeizunguka sana tuu.nimegundua hawa watu wanajisifu vitu bure tuu majengo yakizamani mengi,nenda upaone.
 
Reactions: MC7
Yaani nairobi wanazidi dar kwa zile cheap flyovers na appartments tu,
Pale cbd yao ni pachafu pachafu hivi, kweli majengo yamechakaa na ni ya kizamani sana, ukicheki hata pale Parliament na ule ukumbi wa Kenyatta hapana mvuto wowote, too old.
Hamna kitu aisee..
 

You are one in four Danganyikans who are mad.Cheap is you and your brainless head.Acha kutoa povu za alinacha hapa.Dar es salaam is the filthiest place I know on earth.....Kuna mvuto wowote kwa hiyo congested chaotic and dirty place you call Dar???....
 
You are one in four Danganyikans who are mad.Cheap is you and your brainless head.Acha kutoa povu za alinacha hapa.Dar es salaam is the filthiest I know on earth.....Kuna mvuto wowote kwa hiyo congested chaotic and dirty place you call Dar???....
Hahahaha, bwahahahaha..
I like the way umetokwa povu,
BTW its wkend, karibu tuangalie mechi ya ATL VS GRA huku tukipata castle lagger baridi..

Then uniambie those flyovers are of what standard, na tel me if these photos of dar cbd are weirder than nai's

Dar cbd


Enjoy, n please do not hesitate to pm me if u need more photos[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Don't this morons know that the tallest skyscraper on earth has a 300metre spire, Burj khalifa to earn that title, ujinga ni wa Tz
 
Tz CBD is nothing but a sham, can't even be compared to prestigious Nairobi, which has 3 mega CBDs, that's upper hill, westlands and the obvious one.
 
we've 3 in one CBDs so shut up your filthy mouths coz yuv got nothing to bring here online, nothing.
 
Nyie wakenya acheni potosha humu.nairobi hamna kitu pale.
 
Nyie wakenya acheni potosha humu.nairobi hamna kitu pale.

Kama Nairobi hamna kitu basi si Dar ni uwanja wa fisi tu......Jielimishe kaka kwanza.Panguza povu na makamasi ,acha kukaa pumbavu hapa
 
Kama Nairobi hamna kitu basi si Dar ni uwanja wa fisi tu......Jielimishe kaka kwanza.Panguza povu na makamasi ,acha kukaa pumbavu hapa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nyie wakenya acheni potosha humu.nairobi hamna kitu pale.
you are very funny my friend...but hiyo ni opinion yako.the funny part is every neutral person mwenye atatembea nai na dar atarank nai mbele ya dar.enda forum zote uangalie..google anything about nai na dar utapata majibu.we peke yako and some few tz ndo huwa mnaona dar iko juu ya nai
 
Nairobi ni mji wa kawaida sana unaizidi dar kidogo sana
 
Nairobi ni mji wa kawaida sana unaizidi dar kidogo sana
but unazidi...tuna flyovers dar hakuna..apartments ata usiongee.nairobi is well planned while dar buildings are just smashed up together to form a cluster of stones
 
but unazidi...tuna flyovers dar hakuna..apartments ata usiongee.nairobi is well planned while dar buildings are just smashed up together to form a cluster of stones
Hawapi kwa apartment nairobi haigusi dar hata kidogo.upanga yote imejaa apartment na ni majengo makubwa sana.nairobi nyie mna nyumba za chini nyingi.tuseme dar inaizid nairobi kwa magorofa mengi nyie mnaizidi dar kwa vinyumba vya chin.alaf wakati nyie mnajenga vicheap flyover dar wamejenga daraja kubwa hakuna east africa.
acheni ushamba wakenya kwa kupenda kusifia vyenu huku mkiona wengine hamna kitu.na ukitaka kujua mnapenda sifa angalia jinsi mnavosifia mlima kilimanjaro na wakati hata haupo kwenu,au mnavopenda kusifia wildbeest migration kutoka serengeti kuja eneo dogo la masai mara kila mtu atajua kuwa mnasifia.wakati wanyama wanaishi serengeti na huko wanakuja mda mfupi tena wanarudi kwao serengeti.lakin nyie ni misifa tuu.kila sehemu.kwaio hatushangai mnavosifia nairobi ivo.tafuta image nzuri kama hii kqma utaiona nairobi hamna kabisa
 
nikisema dar ina majengo mengi namaanisha kama hapo.okey tafuta nairobi kama hapo uone kama utapata zaidi ya vipara vingi mjini.saiv dar ni kama sao paulo kwa density ya majengo yake. Sema saupaulo ni marefu sana[emoji2] [emoji2]
 
Reactions: MC7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…