Nauhakika walisikia tanzania wana majengo yanajengwa yatazidi ilo. mmmh wakaona hapana tuweke fimbo ili letu liwe refu.[emoji2] [emoji2]Bwahahahaha, wamefunga mnara wa safaricom juu ya jengo, just to make it higher.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani nairobi wanazidi dar kwa zile cheap flyovers na appartments tu,Nauhakika walisikia tanzania wana majengo yanajengwa yatazidi ilo. mmmh wakaona hapana tuweke fimbo ili letu liwe refu.[emoji2] [emoji2]
af mi nilikuwa naisikiaga nairobi ila bahati nzuri nilienda july nikakaa had this october na cbd yao nimeizunguka sana tuu.nimegundua hawa watu wanajisifu vitu bure tuu majengo yakizamani mengi,nenda upaone.
Haija malizwa kujengwa inamalizwa 2017View attachment 418439yaan hili lenye fimbo ndefu zaidi ya nusu ya jengo.mmeiweka makusudi tuu ili lionekane refu[emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji2]
Yaani nairobi wanazidi dar kwa zile cheap flyovers na appartments tu,
Pale cbd yao ni pachafu pachafu hivi, kweli majengo yamechakaa na ni ya kizamani sana, ukicheki hata pale Parliament na ule ukumbi wa Kenyatta hapana mvuto wowote, too old.
Hamna kitu aisee..
Hahahaha, bwahahahaha..You are one in four Danganyikans who are mad.Cheap is you and your brainless head.Acha kutoa povu za alinacha hapa.Dar es salaam is the filthiest I know on earth.....Kuna mvuto wowote kwa hiyo congested chaotic and dirty place you call Dar???....
Nyie wakenya acheni potosha humu.nairobi hamna kitu pale.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kama Nairobi hamna kitu basi si Dar ni uwanja wa fisi tu......Jielimishe kaka kwanza.Panguza povu na makamasi ,acha kukaa pumbavu hapa
you are very funny my friend...but hiyo ni opinion yako.the funny part is every neutral person mwenye atatembea nai na dar atarank nai mbele ya dar.enda forum zote uangalie..google anything about nai na dar utapata majibu.we peke yako and some few tz ndo huwa mnaona dar iko juu ya naiNyie wakenya acheni potosha humu.nairobi hamna kitu pale.
but unazidi...tuna flyovers dar hakuna..apartments ata usiongee.nairobi is well planned while dar buildings are just smashed up together to form a cluster of stonesNairobi ni mji wa kawaida sana unaizidi dar kidogo sana
Hawapi kwa apartment nairobi haigusi dar hata kidogo.upanga yote imejaa apartment na ni majengo makubwa sana.nairobi nyie mna nyumba za chini nyingi.tuseme dar inaizid nairobi kwa magorofa mengi nyie mnaizidi dar kwa vinyumba vya chin.alaf wakati nyie mnajenga vicheap flyover dar wamejenga daraja kubwa hakuna east africa.but unazidi...tuna flyovers dar hakuna..apartments ata usiongee.nairobi is well planned while dar buildings are just smashed up together to form a cluster of stones